Inawezekana katika couples mmoja akawa HIV +ve na Mwingine -ve .....?

Inawezekana katika couples mmoja akawa HIV +ve na Mwingine -ve .....?

ijoz

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
731
Reaction score
715
Wataalamu, poleni na majukumu, hongereni kwa kazi....
Jamani, mi nimewahi kutana na watu wakinieleza kuwa wapo baadhi ya wanandoa ambao mmoja katika hiyo ndoa ni HIV +ve wakati wingine ni -ve., na wanaendelea kuishi pamoja na kushirikiana kimapenzi bila kutumia condom....! kwamba licha ya kwenda kufanya checkups zaidi ya mara tatu, hali imekuwa hivyo, mmoja ni +ve, mwingine ni -ve.
Sasa, ningependa kupata ufafanuzi,, ni kweli hali hiyo inawezekana, ni kweli kuwa kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV...?
Pia, kama situation ni kweli kama inavyoelezwa kuwa mmoja ni +ve na mwingine ni -ve, je huyo mwenye -ve hata akisex na mtu mwingine (bila kutumia condom) hatapata maambukizi...?
Ufafanuzi wenu ni muhimu sana wandugu...
BTW kama hoja kama hiyo ilikwisha jadiliwa naomba msamaha, sijabahatika kuiona...
Wasalaamu...
IJOZ
 
Niko hapa pembeni Mkuu kuungana nawe
Tukingoja majibu toka kwa Madokta wetu.
 
Siyo daktari lakini nilifanya elementary course ya HIV/AIDS na nikajifunza kuwa inawezekana kukawa na couple yenye HIV -ve na HIV +ve. Baada ya incubation period (kipindi ambacho virus wanakuwa inactive), virus (HIV) wanaanza ku-destroy immune system (yaani wanakuwa active) na ndipo mwili unaanza kujilinda kwa kutoa antibody, hapo ndipo test ikifanyika mtu anaonekana positive. Kama nimekosea madaktari mtanikosoa ndiyo kujifunza.
 
Siyo daktari lakini nilifanya elementary course ya HIV/AIDS na nikajifunza kuwa inawezekana kukawa na couple yenye HIV -ve na HIV +ve. Baada ya incubation period (kipindi ambacho virus wanakuwa inactive), virus (HIV) wanaanza ku-destroy immune system (yaani wanakuwa active) na ndipo mwili unaanza kujilinda kwa kutoa antibody, hapo ndipo test ikifanyika mtu anaonekana positive. Kama nimekosea madaktari mtanikosoa ndiyo kujifunza.
Nakushukuru kwa kuchangia... laikini inasemekana watu wanapima several times kwa muda tofauti tofauti na matokeo ni hayo hayo....!
Wataalamu wa masuala haya, tafadhalini tusaidieni, ninauhakika tupo wengi tungependa kujifunza kuhusu hili
 
Hiyo inawezekana kwani inategemea wanapofanya sex inatokea michubuko au la! Wanaitwa discordant couple Pia inategemea na viral load iliyopo kwa mwenye hiv. Tena mwathirika akiwa mwanamke na hamruki sarakasi na judo kitandani kuna ugumu wa kupata hivi. Ufundi tunaotaka kuuonesha ndo unaotuingiza kwenye jana. Virusi vinavyosababisha ukimwi kuvipata ni lazima kuwe na mchanganyiko wa damu. Pia kuna specie ya watu(wachache mno) cd4 zao hazina receptor kwa hiv hivyo hawawezi tambulika kwa vipimo vya kawaida mpaka dna-pcr
 
Pia kuna specie ya watu(wachache mno) cd4 zao hazina receptor kwa hiv hivyo hawawezi tambulika kwa vipimo vya kawaida mpaka dna-pcr
Nakushukuru mkuu Nyalotsi, hapo nimeanza kuelewa kama kuna maelekezo mengine naomba michango p'z.
 
Nakushukuru kwa kuchangia... laikini inasemekana watu wanapima several times kwa muda tofauti tofauti na matokeo ni hayo hayo....!
Wataalamu wa masuala haya, tafadhalini tusaidieni, ninauhakika tupo wengi tungependa kujifunza kuhusu hili

Individuals differ. Inasemekana kuwa incubation period ya HIV ni 2-10 years, hivyo hata ukipima mara mia kwa kila mwezi provided virus bado wako inactive (incubation period haijaisha) results zitaendelea kuwa hivyo hivyo, i.e., ambaye ni positive atakuwa positive na negative atakuwa negative. Mfano mzuri ni malaria, unaweza kuumwa na mbu mwenye vidudu vya malaria leo ukaenda kupima malaria kesho au kesho kutwa majibu yakawa negative. Kuwa negative siyo kwamba hauna malaria isipokuwa bado wadudu hawajafikia level ya kuonekana. Doctors, can you please say something on this?
 
Inawezekana na imeshanitokea HIV/AIDS kwangu nilisex na mtu ambae yuko positive zaidi ya miaka 15 na anatumia dawa lakini nilipoenda kupima nikaonyesha negative. kusex na mtu mwenye + haimaanishi ndio umeathirika hadi kutokee michubuko na uke kukauka virusi hupita kukiwa na msuguano na joto kali kama uke unamajimaji na hakuna msuguano mkali hapo kutakuwa hakuna maambukizi lakini kinga ni bora kuliko tiba
 
Good example is Magic Johnson and his wife Cookie.





Wataalamu, poleni na majukumu, hongereni kwa kazi....
Jamani, mi nimewahi kutana na watu wakinieleza kuwa wapo baadhi ya wanandoa ambao mmoja katika hiyo ndoa ni HIV +ve wakati wingine ni -ve., na wanaendelea kuishi pamoja na kushirikiana kimapenzi bila kutumia condom....! kwamba licha ya kwenda kufanya checkups zaidi ya mara tatu, hali imekuwa hivyo, mmoja ni +ve, mwingine ni -ve.
Sasa, ningependa kupata ufafanuzi,, ni kweli hali hiyo inawezekana, ni kweli kuwa kuna watu hawawezi kupata maambukizi ya HIV...?
Pia, kama situation ni kweli kama inavyoelezwa kuwa mmoja ni +ve na mwingine ni -ve, je huyo mwenye -ve hata akisex na mtu mwingine (bila kutumia condom) hatapata maambukizi...?
Ufafanuzi wenu ni muhimu sana wandugu...
BTW kama hoja kama hiyo ilikwisha jadiliwa naomba msamaha, sijabahatika kuiona...
Wasalaamu...
IJOZ
 
Back
Top Bottom