Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Habarini wadau
Je inawezekana kama mtu alichukua mkopo ktk bank ya NMB na kulipa almost nusu ya mkopo na kuamua kuchukua tena mkopo mwingine (kiasi kidogo) ktk bank ya CRDB ikiwa hela inayobaki baada ya kulipa mkopo kule NMB ni kubwa?
Procedures za kufuata ni zipi?
Nashukuru.
Je inawezekana kama mtu alichukua mkopo ktk bank ya NMB na kulipa almost nusu ya mkopo na kuamua kuchukua tena mkopo mwingine (kiasi kidogo) ktk bank ya CRDB ikiwa hela inayobaki baada ya kulipa mkopo kule NMB ni kubwa?
Procedures za kufuata ni zipi?
Nashukuru.