Inawezekana kuhama chuo kikuu baada ya kusoma semister/mwaka wa kwanza?

Inawezekana kuhama chuo kikuu baada ya kusoma semister/mwaka wa kwanza?

De black

Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
52
Reaction score
0
Ndugu wakuu,naomba msaada hapa,nilichaguliwa chuo kimoja hivi katika kozi ya BBA,,lakn nmektana,na changamoto ngum na kwa sasa nafikiria kuhama chuo katika mwaka wa pili,,je inawezekana?na kama inawezekana nifanye taratibu zipi?
 
ni ngumu sana ndugu yangu labda uprospond mwaka ufanye application ya chuo unachokihitaji kwa mwaka mwingine
 
Ndio inawezekana, sema upo chuo gani na unataka kwenda chuo kipi? Usiniambie upo st. John afu unataka kuhamia UDSM, hapo sahau ni ngumu sana. Lakini ni rahisi kuhama kutoka udsm kwenda St. John au Open university.
 
Ndio inawezekana, sema upo chuo gani na unataka kwenda chuo kipi? Usiniambie upo st. John afu unataka kuhamia UDSM, hapo sahau ni ngumu sana. Lakini ni rahisi kuhama kutoka udsm kwenda St. John au Open university.

npo Mbeya university nataka kuhamia TIA
 
ulishakosea rafiki, hiyo haiwezekani kama kubadilisha chuo ungefanya mapema kabla hujaanza soma
 
Hiyo haiwezekan kama ushamaliza mwaka maana ufundishaji na content za courz zinatofautiana kila chuo hata kama zote ni mmoja....
 
Back
Top Bottom