Inawezekana kuishi bila kufanya dhambi

Inawezekana kabisa, amua kutoka moyoni kuacha dhambi halafu kaa mbali na kila kishawishi. Muombe MUNGU atakupa uwezo wa kushinda dhambi
 
Hii ni vigum tena sana
Huenda hata dhambi tumeumbiwa kama yalivyo magonjwa
Biblia inasema hata kumtazama tyu mwanamke tayari umekwisha zini naye kwa macho!
Je kwa siku unatazama wangap????
Kumtazama kwa kumtamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…