Inawezekana kujifunza lugha ya Kifaransa ndani ya wiki 2?

Inawezekana kujifunza lugha ya Kifaransa ndani ya wiki 2?

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Wadau,

Nahitaji kujifunza lugha ya kifaransa, Je inawezekana nikawa vizuri ktk kuongea ndani ya wiki 2 au mwezi mmoja?

Kama inawezekana ni wapi naweza kupata mafunzo ya lugha hii?

Shukrani nazitanguliza na majibu yenu ni muhimu sana.
 
CMimi nimejifunza kifaransa kwa muda wa miaka 2. Siamini hata kidogo kama unaweza jua hii lugha ya kilatini kwa majuma mawili au hata mwezi hata uwe genius kiasi gani! Maana maneno yake yanavyoandikwa ni tofauti na unavyotamka. Mfano: my name is Sambeke. Unasema je suis Sambeke, hii suis Inatakiwa" swi "
Chuo kizuri kiko arusha Kinaitwa alliance francaise Tanzaniene. Na hapa A town kuna watu wengi sana wanaongea kifaransa kizuri so unaweza kuimprove haraka. Bonjour et aurevoir........
 
Wadau nahitaji kujifunza lugha ya kifaransa, Je inawezekana nikawa vizuri ktk kuongea ndani ya wiki 2 au mwezi mmoja?

Kama inawezekana ni wapi naweza kupata mafunzo ya lugha hii?

Shukrani nazitanguliza na majibu yenu ni muhimu sana.

Hata uwe mwenye uwelewa wa haraka kiasi gani, hakuna lugha unayoweza kujifunza kwa wiki mbili duniani
 
CMimi nimejifunza kifaransa kwa muda wa miaka 2. Siamini hata kidogo kama unaweza jua hii lugha ya kilatini kwa majuma mawili au hata mwezi hata uwe genius kiasi gani! Maana maneno yake yanavyoandikwa ni tofauti na unavyotamka. Mfano: my name is Sambeke. Unasema je suis Sambeke, hii suis Inatakiwa" swi "
Chuo kizuri kiko arusha Kinaitwa alliance francaise Tanzaniene. Na hapa A town kuna watu wengi sana wanaongea kifaransa kizuri so unaweza kuimprove haraka. Bonjour et aurevoir........

Merci de votre contribution
 
Kama mie nilisoma kuanzia form 1 na 2 na bado cjaielewa vzr,ndo wewe uielewe ndani ya wk mbili?
 
CMimi nimejifunza kifaransa kwa muda wa miaka 2. Siamini hata kidogo kama unaweza jua hii lugha ya kilatini kwa majuma mawili au hata mwezi hata uwe genius kiasi gani! Maana maneno yake yanavyoandikwa ni tofauti na unavyotamka. Mfano: my name is Sambeke. Unasema je suis Sambeke, hii suis Inatakiwa" swi "
Chuo kizuri kiko arusha Kinaitwa alliance francaise Tanzaniene. Na hapa A town kuna watu wengi sana wanaongea kifaransa kizuri so unaweza kuimprove haraka. Bonjour et aurevoir........

okay nmekupata lkn vp kuhusu zile basics tu? then mi sipo chuga niko dar,,ni wapi naeza pata hyo kozi kwa hapa?
 
Kama mie nilisoma kuanzia form 1 na 2 na bado cjaielewa vzr,ndo wewe uielewe ndani ya wk mbili?

form one ulikuwa bdo mdogo kiongoz,,na hakuna kinachoshindikana kwa uwezo wa akili ya mwanadamu
 
CMimi nimejifunza kifaransa kwa muda wa miaka 2. Siamini hata kidogo kama unaweza jua hii lugha ya kilatini kwa majuma mawili au hata mwezi hata uwe genius kiasi gani! Maana maneno yake yanavyoandikwa ni tofauti na unavyotamka. Mfano: my name is Sambeke. Unasema je suis Sambeke, hii suis Inatakiwa" swi "
Chuo kizuri kiko arusha Kinaitwa alliance francaise Tanzaniene. Na hapa A town kuna watu wengi sana wanaongea kifaransa kizuri so unaweza kuimprove haraka. Bonjour et aurevoir........

na vp kuhusu kichina au kiarabu? ipi rahisi kujifunza kati ya hizo
 
Kama mie nilisoma kuanzia form 1 na 2 na bado cjaielewa vzr,ndo wewe uielewe ndani ya wk mbili?[/QUOTE/]

Pas d' accord!

Kama ulisoma lugha ya Kifaransa Makongo au Milambo sec schools huwezi ukakijua kumzidi mtu aliyesoma kozi hiyo kwa miezi miwili pale Alliance Francais (AF)!
Learning facilities pale AF ni za kutosha ili kumwezesha mwanafunzi kumudu lugha hiyo!
 
Wakuu mi nimepata fursa ya kusoma kati ya kifaransa au kichina nimedhamiria nichague kichina . Vp kuna changamoto gani za kusoma na kukielewa kichina?
 
me ninejifunza mwaka mzima chuo pale SAUT na bado cjakujiua sembuse wk 2 tu, haiwezekani hata kwa kulala na vitabu vys France kitandani
 
hv ubalozi wa ufaransa kutakuwa hamna hii huduma kweli??!
 
Back
Top Bottom