Inawezekana kujifunza lugha ya Kifaransa ndani ya wiki 2?

Inawezekana kujifunza lugha ya Kifaransa ndani ya wiki 2?

Kuna chuo fulani hivi kwa Aziz Ali. Pale ni miezi 12!!!!! Utapiga kiarabu swaaaaaaaaaafi kama kiongozi mkuu wa Tariban.

hahah et "km kiongoz wa taliban" poah poah mkuu,,cema vp amna koz fupi chin ya miez 12?
 
Mtafute Monsieur Manyasa huyu jamaa alisoma milambo Secondary KLF mwishoni mwa miaka ya tisini na baadae kujiunga UDSM, nilisikia anafanya kazi Duce, jamaa anaijua hiyo lugha, yaani ukikaa nae masaa mawili tu pase compose zote utakuwa umeelewa
 
Mtafute Monsieur Manyasa huyu jamaa alisoma milambo Secondary KLF mwishoni mwa miaka ya tisini na baadae kujiunga UDSM, nilisikia anafanya kazi Duce, jamaa anaijua hiyo lugha, yaani ukikaa nae masaa mawili tu pase compose zote utakuwa umeelewa

ngoja nifanye juhudi za kumtafuta mkuu,,na ww ukipata taarifa za uhakika usisite kunijuza kiongoz
 
Wadau,

Nahitaji kujifunza lugha ya kifaransa, Je inawezekana nikawa vizuri ktk kuongea ndani ya wiki 2 au mwezi mmoja?

Kama inawezekana ni wapi naweza kupata mafunzo ya lugha hii?

Shukrani nazitanguliza na majibu yenu ni muhimu sana.

Mkuu hata kingereza pia hukujifunza kwa wiki mbili ndo itakuwa kifaransa? Kama utakuwa maeneo ya watu wanaokiongea sana utaweza kwa miezi 6 - 12 ila chini ya hapo sidhani.
 
hv ubalozi wa ufaransa kutakuwa hamna hii huduma kweli??!

Alliance Francais ndo napakubali kati ya wote wanaotoa hiyo kozi kwa Dar. Ukienda ubalozi wa ufaransa watakupa maelekezo yote.
 
Alliance Francais ndo napakubali kati ya wote wanaotoa hiyo kozi kwa Dar. Ukienda ubalozi wa ufaransa watakupa maelekezo yote.

hyo Alliance Francais kwa hapa dar ipo?? mana nmeona wadau wanadai iko arusha
 
Alliance Française kipo Dar pia,kituo cha basi Aga khan nyuma ya ubalozi wa Zimbabwe
 
me ninejifunza mwaka mzima chuo pale SAUT na bado cjakujiua sembuse wk 2 tu, haiwezekani hata kwa kulala na vitabu vys France kitandani
Mi mwenyewe nilitoka kapa mbaya zaidi kuna swali lilikuwa linauliza ulikula nini? Mimi nikajibu nilikula hospitali.Ni maneno mawili tu ndo yalikua yamekaa kichwani nayo ni hopitale na ecole-SAUT.
 
Pia anza kujifunza online,
Kuna application ya 'Duolingo'
Download hiyo upate angalau idea ya lugha uitakayo kuliko kwenda chuo huna chochote kbs.
 
Huko kwenye 'Arabic' kwa aziz ali plz naomba anielekeze vzr km hatojali, nami ntk niende.
 
Pia anza kujifunza online,
Kuna application ya 'Duolingo'
Download hiyo upate angalau idea ya lugha uitakayo kuliko kwenda chuo huna chochote kbs.

aisee nakushukuru kwa kunijuza hii application,,ina msaada sana
 
Back
Top Bottom