Inawezekana kumfungulia mashitaka polisi aliyelewa akiwa kazini na uniform( gwanda za polisi)

Inawezekana kumfungulia mashitaka polisi aliyelewa akiwa kazini na uniform( gwanda za polisi)

mbalila

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
824
Reaction score
161
samahani wana JF naomba ufafanuzi wa kisheria kwa anayejua naweza kumfungulia mashitaka polisi akiwa na dalili za mtu aliyetumia kilevi na hasa pombe akiwa kazini na huku akiwa amevaa nguo za kipolisi na kama inawezekana ni utaratibu upi unatakiwa kufuatwa asanteni naomba kuwasilisha
 
Kwa kuwa kosa hilo si jinai wala madai, halihitaji RB wala Mahakama, bali ni la kinidhamu ndani ya jeshi, upo utaratibu ndani ya jeshi wa kushughulikia mambo kama hayo. Kijeshi askari huyo atathibitishwa kama amelewa kwa vifaa maalum then hatua za kinidhamu hufuata.
 
Huyo askari yupo meva nini mana ndo baa yao yakunywea wakiwa na uni4m na vyamoto.
 
Mbona kwenye mabwalo ya askari kuna vilevi tena vinauzwa kwa bei chee? Unless ulevi wake uwe umekuathiri kwa namna moja ama nyingine ndipo unaweza kumchukulia hatua....Tukiruhusu hili basi na wanaume wote wafunguliwe mashitaka ya ubakaji simply kwa sababu zana wanazotumia kubakia wanazo stand - by ready kwa kuattack!
 
Kwa kuwa kosa hilo si jinai wala madai, halihitaji RB wala Mahakama, bali ni la kinidhamu ndani ya jeshi, upo utaratibu ndani ya jeshi wa kushughulikia mambo kama hayo. Kijeshi askari huyo atathibitishwa kama amelewa kwa vifaa maalum then hatua za kinidhamu hufuata.

asnte mkuu lakini sasa nikimuona anafanyakazi amelewa natakiwa nifanye nini kama raia mwema
 
Kwa kuwa kosa hilo si jinai wala madai, halihitaji RB wala Mahakama, bali ni la kinidhamu ndani ya jeshi, upo utaratibu ndani ya jeshi wa kushughulikia mambo kama hayo. Kijeshi askari huyo atathibitishwa kama amelewa kwa vifaa maalum then hatua za kinidhamu hufuata.

asnte mkuu lakini sasa nikimuona anafanyakazi amelewa natakiwa nifanye nini kama raia mwema?
 
samahani wana JF naomba ufafanuzi wa kisheria kwa anayejua naweza kumfungulia mashitaka polisi akiwa na dalili za mtu aliyetumia kilevi na hasa pombe akiwa kazini na huku akiwa amevaa nguo za kipolisi na kama inawezekana ni utaratibu upi unatakiwa kufuatwa asanteni naomba kuwasilisha

kisheria askari haruhusiwi kuingia kazini akiwa amekunywa pombe hata kidogo kama itabainika kuwa kanywa pombe atashitakiwa kijeshi na adhabu yake ni kufukuzwa kazi hii hapa ni mjibu wa sheria zao wewe unawajibu wa kutoa taarifa tu afisa mkaguzi wa siku ile ndio atashughulikia
usiishie polisi tu nenda mahospitalini magereza kwa wabunge na wewe pia ukionekana umekunywa pombe tunakufukuza kazi
 
asnte mkuu lakini sasa nikimuona anafanyakazi amelewa natakiwa nifanye nini kama raia mwema?

sheria ya kunywa pombe inatakiwa ifanyiwe marekebisho hata siyo mfanyakazi ukionekana unakunya muda waasubuhi ushitakiwe na wewe mtoa mada sijui utafanyaje
 
Back
Top Bottom