Inawezekana kupokea gari bandarini na kusajili kwa niaba ya mtu mwingine?

Inawezekana kupokea gari bandarini na kusajili kwa niaba ya mtu mwingine?

KnucleBreaker

Member
Joined
Jan 10, 2022
Posts
21
Reaction score
29
Habari wakuu,

Nipo nje ya nchi, nataka niagize gari kutoka japan, kisha nimtume rafiki yangu akanipokelee bandarini ikifika pia anisajilie kwa TIN number yangu. Tutatumia agent kufanya clearance ila malipo nitafanya mimi.

Je, kwenye cosignee details wakati wa kununua kwenye website najaza taarifa za mpokeaji au zangu mimi mmiliki? Je nikiweka taarifa za atayepokea kama Consignee, TRA hakutakuwa na shida kwenye kusajili kwa jina langu?

Nawasilisha
 
Jaza taarifa zako wewe mwenye gari. Agent atasimamia kila jambo huyo ndugu yako atapewa gari likiwa tayari limekamilika kila hatua.

TRA wanachotaka ni pesa yao na viambata kama TIN na NIDA copies kulingana na majina yaliyoko kwenye taarifa za manunuzi.

So weka majina yako kabisaaa huyo ndugu yako utakuja kumtambulisha tu kwa agent akachukue gari.
 
Jaza taarifa zako wewe mwenye gari. Agent atasimamia kila jambo huyo ndugu yako atapewa gari likiwa tayari limekamilika kila hatua. TRA wanachotaka ni pesa yao na viambata kama TIN na NIDA copies kulingana na majina yaliyoko kwenye taarifa za manunuzi.
So weka majina yako kabisaaa huyo ndugu yako utakuja kumtambulisha tu kwa agent akachukue gari.
Shukrani sana mkuu
 
Jaza taarifa zako wewe mwenye gari. Agent atasimamia kila jambo huyo ndugu yako atapewa gari likiwa tayari limekamilika kila hatua. TRA wanachotaka ni pesa yao na viambata kama TIN na NIDA copies kulingana na majina yaliyoko kwenye taarifa za manunuzi.
So weka majina yako kabisaaa huyo ndugu yako utakuja kumtambulisha tu kwa agent akachukue gari.
uzi uishe👏🏿👏🏿
 
Back
Top Bottom