Inawezekana kupokea pesa kwa njia ya simu kutoka nje ya nchi

Inawezekana kupokea pesa kwa njia ya simu kutoka nje ya nchi

#1. Anayekutumia mwambie atumie app ya WORLDREMIT.
Code:
 https://www.worldremit.com/en

#2. Mpe namba yako ya simu viz: Tigo/Vodacom

#3. Atakutumia fedha na utapokea kwenye simu yako bila tatizo.
Ok asante

Umetaja mitandao miwili

Kwa Airtel inawezekana?
 
#1. Anayekutumia mwambie atumie app ya WORLDREMIT.
Code:
 https://www.worldremit.com/en

#2. Mpe namba yako ya simu viz: Tigo/Vodacom

#3. Atakutumia fedha na utapokea kwenye simu yako bila tatizo.
Je kuna kiwango cha juu ambach mtu anaweza tumiwa/pokea kwa njia hii ya WorldRemit?
Na kama kipo ni kiasi gani interms of USD au TZS?
 
Back
Top Bottom