medical training courses kama unataka certificate inabidi uwe na D katika masomo ya chemistry,biology na physics
kama unataka diploma courses inabidi uwe na C na kuendelea katika masomo niliyotaja hapo juu
hii ni kwa kozi zote za afya
matokeo ya Form 4
D ya CIVICS na KISWAHIL
C Ya ENGLISH NA HISTORY
Vp Anaweza Kusomea Pharmacy medical training courses?
Ahsanten Wadau