The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,168
- 10,184
Wasalam ndugu zangu wa Tz na waafrika wenzangu.
Nimesoma kuhusu NAFSI ambayo ni pumzi aliyopuliza Mungu kwa mujibu biblia kwetu sisi watu.
Nimekuja kwenu kupata ufahamu zaidi kuhusu NAFSI.
1. Je, inawezekana kweli binadamu kukosa NAFSI na akawa anaishi? Au 2. Nafsi inaweza kufungwa na binadamu akaishi kama roboti (wengi tunajua maisha ya roboti)?
Kama jibu ni NDIO kwenye moja wapo ya hayo hapo juu, mimi nipo hapo.
Kama jibu ni NDIO, nini nikifanye kujitoa kwenye hali hii?
Kuishi pasipo kujisikia nafsini mwako, ni sawa upo gerezani hauna maamuzi ya uhuru japo unajua kuna uhuru.
Wasalam.
Nimesoma kuhusu NAFSI ambayo ni pumzi aliyopuliza Mungu kwa mujibu biblia kwetu sisi watu.
Nimekuja kwenu kupata ufahamu zaidi kuhusu NAFSI.
1. Je, inawezekana kweli binadamu kukosa NAFSI na akawa anaishi? Au 2. Nafsi inaweza kufungwa na binadamu akaishi kama roboti (wengi tunajua maisha ya roboti)?
Kama jibu ni NDIO kwenye moja wapo ya hayo hapo juu, mimi nipo hapo.
Kama jibu ni NDIO, nini nikifanye kujitoa kwenye hali hii?
Kuishi pasipo kujisikia nafsini mwako, ni sawa upo gerezani hauna maamuzi ya uhuru japo unajua kuna uhuru.
Wasalam.