Nafsi = akili (mawazo), hisia, mwili (physical, motherboard), roho (vitality) = utu au mtu kamili.
Ukiondoa nafsi huna tena binadamu hapo, bali kitu kingine tofauti kabisa. Read good books on philosophy, utaelewa.
^Kujisikia^ ama ^kutojisikia,^ hiyo ni function ya hisia kwenye ubongo.