Inawezekana kwenda kuokota "mali" Marekani?

Inawezekana kwenda kuokota "mali" Marekani?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Mtu mmoja alishawahi kuniambia kuwa alipokuwa akiishi Marekani yeye na familia yake alipokuwa masomoni, hakuwa akisumbuka kununua baadhi ya vitu vya ndani kama sofa, TV, n.k. Alichokuwa akifanya ni kwenda kunakotupwa vitu vilivyokwishatumika na kuvihamishia nyumbani kwake.

Kwamba, ni kawaida kwa Marekani kukuta vitu vizuri vimetupwa, ambavyo vingefikishwa hapa Tanzania, vingeweza kuwa "mali". Magari, sofa, TV, laptop, n.k. ni kawaida kutupwa huko, wamiliki wake wanapokuwa wamezichoka.

Kama hayo ni kweli, kwa nini Watanzania wasiende kujikusanyia huko "mali" za bure na kuja kuziuza?
 
Alitakiwa akueleze hivi;
Kuna baadhi ya miji ina utaratibu wa kuwa na siku moja ya mwisho wa mwezi ambapo watu hupeleka vitu ambavyo bado vinafaa kwa matumizi ila hawana kazi navyo.

Ukienda kwenye sehemu hiyo iliyotengwa (uwanja wa wazi), watu huleta vitu vyao vya zamani au vile ambavyo hawavihitaji na wewe unaweza kuchukua na kumilikishwa. Ikifika jioni vile ambavyo havikuchukuliwa hukusanywa na mamlaka za mji kwa taratibu zingine za kurecycle/kutupwa.

Nafikiri utaratibu huu hata ukifanywa hapa kwetu, ungefaa hata watu wauze kwa bei nafuu kuliko kujaza nyumba kwa mavitu yasiyohitajika.
 
Mtu mmoja alishawahi kuniambia kuwa alipokuwa akiishi Marekani yeye na familia yake alipokuwa masomoni, hakuwa akisumbuka kununua baadhi ya vitu vya ndani kama sofa, TV, n.k. Alichokuwa akifanya ni kwenda kunakotupwa vitu vilivyokwishatumika na kuvihamishia nyumbani kwake.

Kwamba, ni kawaida kwa Marekani kukuta vitu vizuri vimetupwa, ambavyo vingefikishwa hapa Tanzania, vingeweza kuwa "mali". Magari, sofa, TV, laptop, n.k. ni kawaida kutupwa huko, wamiliki wake wanapokuwa wamezichoka.

Kama hayo ni kweli, kwa nini Watanzania wasiende kujikusanyia huko "mali" za bure na kuja kuziuza?
Vitu hutupwa yeah, mostly kama nyumba familia inahama kukuta baiskeli, TVs, viti nk ni jambo la kawaida sana.
 
Mtu mmoja alishawahi kuniambia kuwa alipokuwa akiishi Marekani yeye na familia yake alipokuwa masomoni, hakuwa akisumbuka kununua baadhi ya vitu vya ndani kama sofa, TV, n.k. Alichokuwa akifanya ni kwenda kunakotupwa vitu vilivyokwishatumika na kuvihamishia nyumbani kwake.

Kwamba, ni kawaida kwa Marekani kukuta vitu vizuri vimetupwa, ambavyo vingefikishwa hapa Tanzania, vingeweza kuwa "mali". Magari, sofa, TV, laptop, n.k. ni kawaida kutupwa huko, wamiliki wake wanapokuwa wamezichoka.

Kama hayo ni kweli, kwa nini Watanzania wasiende kujikusanyia huko "mali" za bure na kuja kuziuza?
Kama umewahi kununua TV,Fridge etc used probably ushanunua vitu hivyo. Iko hivi, mtu akinunua kitu kipya cha zamani anaweka nje ambapo kuna watu huwa wanapita wanavikusanya wanaleta Africa kuuza tena. Vingine kuna watu kazi yao ni recycling wanapitia wanapeleka dump site. Kama uko US au Europe ukikuta kitu Kama hicho kwa mtu unaweza kuchukua na kwenda kutumia.
 
Mtu mwenye uwezo wa kusafiri kwenda Marekani hawezi akawa wa kuokota vitu majalalani
Mkuu, ukienda kwa lengo hilo unachukua mzigo mkubwa hasa, unajaza makontena kadhaa unakuja kuuza kama mitumba Afrika!
 
Back
Top Bottom