Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Ukiachia mbali kuboronga kwa referee wa mchezo wa jana kati ya Mbeya city na Yanga. Nimeshtushwa na ujasiri wa kiwango cha 'nuclear' ulioneshwa na Mbeya City
Hakika sijawahi hata kudhania kuwa timu tena ya VPL inaweza kufanya uhuni ule wa kuchomekea mchezji kinyemela. Na zaidi haiwezekani kuwa ni bahati mbaya!
Inawezekana wameshafanya sana huko nyuma ila waliweza 'get away with it'!
Nadhani TFF watapata tabu kupata sheria ya kuamua swala hili, sijui kama lipo kwenye sheria na kanuni!
Hongera Mbeya City kwa ubunifu wa kijinga!
Hakika sijawahi hata kudhania kuwa timu tena ya VPL inaweza kufanya uhuni ule wa kuchomekea mchezji kinyemela. Na zaidi haiwezekani kuwa ni bahati mbaya!
Inawezekana wameshafanya sana huko nyuma ila waliweza 'get away with it'!
Nadhani TFF watapata tabu kupata sheria ya kuamua swala hili, sijui kama lipo kwenye sheria na kanuni!
Hongera Mbeya City kwa ubunifu wa kijinga!