Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Siku hizi huku mjini kuna technology kaka watu hawabahatishi!Inamaana aliyeona ninnsajigwa tuu..hii ni kama hadithi za kutungwa
Huyu sijui wa Mpemba au Momba?Inamaana aliyeona ninnsajigwa tuu..hii ni kama hadithi za kutungwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli ushamba mzigo. Kama mtu hata masuala ya teknolojia tu hajua........ Mkuu ukombozi wa fikra bado sana TzSiku hizi huku mjini kuna technology kaka watu hawabahatishi!
Mkuu nadhani hukuwepo uwanjani, walioanza kuona ni mashabiki wa Yanga waliokuwa jukwaani ambao walianza kupiga kelele na miruzi kuonyesha Mbeya City wanafanya uhuni wa kizamani, na hapo ndipo Msajigwa naye akaanza kupaza sauti....Mi siamini bado,msajigwa tu aone?,yaani referee na mareferee wasaidizi wasione,wachezaji wa Yanga wasione
hakuna vha fifa ni point 3 mezani huku mchezaji aliyefanya hicho kitendo akiigharimu timu yake na yeye mwenyeweZamu yenu kwenda FIFA...
Kweli Hali tetee mnasubiria ushindi wa mezan,, 29 sio mbalii...hakuna vha fifa ni point 3 mezani huku mchezaji aliyefanya hicho kitendo akiigharimu timu yake na yeye mwenyewe
hilo watajua walio leta mambo ya ki primitive kwenye soka la kisasa tena la kibiashara.Kweli Hali tetee mnasubiria ushindi wa mezan,, 29 sio mbalii...
Hata ye mwenyewe kasema alipaniki kwa ile droo ila hana uhakika zaidi kama walikuwa wamezidi, mpaka anatia aibu kwa maelezo yakeInamaana aliyeona ninnsajigwa tuu..hii ni kama hadithi za kutungwa