Inawezekana Mbowe kaahidiwa Majimbo, hivo Kwa namna yoyote anasaidiwa kua Mwenyekiti, Ushindi wa LISSU ukipokonywa, CHADEMA inakufa

Inawezekana Mbowe kaahidiwa Majimbo, hivo Kwa namna yoyote anasaidiwa kua Mwenyekiti, Ushindi wa LISSU ukipokonywa, CHADEMA inakufa

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Chama ni watu na watu ni chama.

Mbowe na Genge lake Kwa kuwasikiliza tu ni watu wabinafsi, walotanguliza Mali , watu wasojali wanachama wao na gharama ambazo wanachama wanalipa...ndio Sababu kwao ni rahisi sana kununulika.

Hata hivo, CHADEMA itakufa Kifo cha Mende endapo LISSU ATAPOKONYWA USHINDI WAKE.

Wakati huohuo CCM watakua na hali mbaya sana endapo LISSU ATASHINDA Kwa sababu ndogo tu, Wagombea wa CCM walotangazwa Leo, HAWAKUBALIKI .

Hayupo Mgombea wa kujibu Hoja za LISSU au Heche !!

Na hii inaweza kutoa picha ni kwann ABDUL anatajwa.
 
Chama ni watu na watu ni chama.

Mbowe na Genge lake Kwa kuwasikiliza tu ni watu wabinafsi, walotanguliza Mali , watu wasojali wanachama wao na gharama ambazo wanachama wanalipa...ndio Sababu kwao ni rahisi sana kununulika.

Hata hivo, CHADEMA itakufa Kifo cha Mende endapo LISSU ATAPOKONYWA USHINDI WAKE.

Wakati huohuo CCM watakua na hali mbaya sana endapo LISSU ATASHINDA Kwa sababu ndogo tu, Wagombea wa CCM walotangazwa Leo, HAWAKUBALIKI .

Hayupo Mgombea wa kujibu Hoja za LISSU au Heche !!

Na hii inaweza kutoa picha ni kwann ABDUL anatajwa.
acha ife kwani kafa ndugu yako, why bother!
 
Chama ni watu na watu ni chama.

Mbowe na Genge lake Kwa kuwasikiliza tu ni watu wabinafsi, walotanguliza Mali , watu wasojali wanachama wao na gharama ambazo wanachama wanalipa...ndio Sababu kwao ni rahisi sana kununulika.

Hata hivo, CHADEMA itakufa Kifo cha Mende endapo LISSU ATAPOKONYWA USHINDI WAKE.

Wakati huohuo CCM watakua na hali mbaya sana endapo LISSU ATASHINDA Kwa sababu ndogo tu, Wagombea wa CCM walotangazwa Leo, HAWAKUBALIKI .

Hayupo Mgombea wa kujibu Hoja za LISSU au Heche !!

Na hii inaweza kutoa picha ni kwann ABDUL anatajwa.

..Mama Abduli anaweza kuahidi, lakini wa chini yake wasitekeleze.
 
Anapokonywa kitu asichokuwa nacho?

Kelele sio ushindi.

Kura hazijapigwa umeshasema kapokonywa ushindi, ujinga mtupu.

Aende mahakamani.
 
Chama ni watu na watu ni chama.

Mbowe na Genge lake Kwa kuwasikiliza tu ni watu wabinafsi, walotanguliza Mali , watu wasojali wanachama wao na gharama ambazo wanachama wanalipa...ndio Sababu kwao ni rahisi sana kununulika.

Hata hivo, CHADEMA itakufa Kifo cha Mende endapo LISSU ATAPOKONYWA USHINDI WAKE.

Wakati huohuo CCM watakua na hali mbaya sana endapo LISSU ATASHINDA Kwa sababu ndogo tu, Wagombea wa CCM walotangazwa Leo, HAWAKUBALIKI .

Hayupo Mgombea wa kujibu Hoja za LISSU au Heche !!

Na hii inaweza kutoa picha ni kwann ABDUL anatajwa.


Yule waziri wa fedha mzalendo aliyekuza uchumi wa nchi kufikia uchumi wa kati . Kwa sasa ni wazi hana mpango wa kuendelea kuwa kwenye mfumo wa kifisadi.


Mbowe ni lazima inunuliwe kwa gharama yoyote.
Japo nawashangaa sana akina Lema na Heche kushindwa kushindwa kutafuta spy camera na kuweka maintelijensia kila kona kupiga picha uhuni wote ili hata Mbowe akishinda basi abaki na aibu kubwa ya rushwa anayogawa.

Bilionea Samia hana uwezo wa kushindana na mtu wa watu na chaguo la Mungu Tundu Lisu . Ila hata waliiba hawatafaidi chochote na Mungu yule yule aliyekuwepo wakati wa Magufuli yupo mpaka sasa . Mbowe ameharibu sana heshima yake na sasa ni wazi analaani na damu ya Alphonse Mawazo, Ali kibao na Akwilini, Ben Saa nane, JPM , Maalim Seif, Julius Kambarage Nyerere,Edward Lowasa,Edward Sokoine ,Benjamin Mkapa ,Mwangosi, Soka, Deo Filikinjombe, na maelfu waliokua wakipinga mifumo ya rushwa na ufisadi na sasa mbowe amehamia huko kwa sababu ya rushwa . Ni wazi Timu ya CCM haiwezi kukivusha chama hata vyombo vya dola haviwezi kutumika kuweka madarakani mafisadi . Mpango amejitenga na ufisadi kulinda heshima ya Waasisi wa Taifa hili na imani yake kwa Muumba sio kwa CCM .
 
Chama ni watu na watu ni chama.

Mbowe na Genge lake Kwa kuwasikiliza tu ni watu wabinafsi, walotanguliza Mali , watu wasojali wanachama wao na gharama ambazo wanachama wanalipa...ndio Sababu kwao ni rahisi sana kununulika.

Hata hivo, CHADEMA itakufa Kifo cha Mende endapo LISSU ATAPOKONYWA USHINDI WAKE.

Wakati huohuo CCM watakua na hali mbaya sana endapo LISSU ATASHINDA Kwa sababu ndogo tu, Wagombea wa CCM walotangazwa Leo, HAWAKUBALIKI .

Hayupo Mgombea wa kujibu Hoja za LISSU au Heche !!

Na hii inaweza kutoa picha ni kwann ABDUL anatajwa.
Ikifa si nyie na Lissu mtaanzisha chama kingine? Au LAZIMA mng'ang'anie Chadema kwakuwa iliishajengwa na Mbowe?
 
 
Ikifa si nyie na Lissu mtaanzisha chama kingine? Au LAZIMA mng'ang'anie Chadema kwakuwa iliishajengwa na Mbowe?


Na yeye pia hataishi milele yaliyomkuta dikteta yule yatamkuta pia na huyo maana wengi walikufa kwa sababu ya kupinga anayoyafanya leo.Karma au asili haijawahi kumwacha mtu salama na yeye anajua .
Na nyie mnajua kuwa zimetumika kufanyia wengine ubaya asiotaka kufanyiwa yeye.

Chama siasa ni watu .
Kampuni ndiyo inayoundwa na wamiliki wa mitaji .

Utashangaa , Nchi haiwezekani kuogelea kwenye wimbi la rushwa . Hao walinzi mapolisi , wanajeshi ,walimu ,manesi , nao wana watoto waliowasomesha kwa mamilioni ya pesa za kukopa nao wanaumia kwa nchi kuwa na genge la wanasiasa wahuni wanaotumia kodi zao kuharibu nchi kwa ubinafsi wao
 
Back
Top Bottom