Kuna ukweli umejificha inawezekana kabisa Mheshimiwa Mbowe ni gaidi tusubiri serikali ithibitishe au kumkuta na hatia, sio kutuambia alitaka kulipuwa vituo vya mafuta na sehemu zingine, bado hilo halipo sawa, maana gaidi ni watu wanne tu?
Ninavyosikia gaidi au magaidi huwa ni netiwaki kubwa sana au kundi au kikundi kikubwa na sio watu wanne, labda waseme ni jambazi na hapo wasibitishe ujambazi alioutekeleza.
Kuna mashambulizi ya ugaidi kusini mwa tanzania hatujaambiwa ni nani aliongoza au kikundi gani, hamna taarifa iliyokamilika, hali kadhalika mashambulizi ya Kibiti kati ya Polisi na wasiojulikana yalivuma, haikujulikana kiongozi alikuwa nani? Kiasi ya wananchi kuhesabu kuwa na mambo ya kisiasa za kiccm.
Marehemu Maali Seif na wenzake walikamatwa na kusota jela kwa kosa la kiccm la eti walipanga kufanya Mapinduzi.
Kule Zanzibar kutaka kuiondoa CCM madarakani unashitakiwa kwa kosa la kutaka kufanya mapinduzi. Huku Tanganyika kutaka kuiondoa CCM madarakani unashitakiwa kwa kosa la ugaidi.
Ninavyosikia gaidi au magaidi huwa ni netiwaki kubwa sana au kundi au kikundi kikubwa na sio watu wanne, labda waseme ni jambazi na hapo wasibitishe ujambazi alioutekeleza.
Kuna mashambulizi ya ugaidi kusini mwa tanzania hatujaambiwa ni nani aliongoza au kikundi gani, hamna taarifa iliyokamilika, hali kadhalika mashambulizi ya Kibiti kati ya Polisi na wasiojulikana yalivuma, haikujulikana kiongozi alikuwa nani? Kiasi ya wananchi kuhesabu kuwa na mambo ya kisiasa za kiccm.
Marehemu Maali Seif na wenzake walikamatwa na kusota jela kwa kosa la kiccm la eti walipanga kufanya Mapinduzi.
Kule Zanzibar kutaka kuiondoa CCM madarakani unashitakiwa kwa kosa la kutaka kufanya mapinduzi. Huku Tanganyika kutaka kuiondoa CCM madarakani unashitakiwa kwa kosa la ugaidi.