Ni variation mojawapo ya performance kwenye seasons, kuna Very high, High, mid-high Average low mid-low, very low,Salamu wakuu.
Mambo yasiwe mengi, nipo sehemu napata kilaji huku nikicheki mechi ya Yanga na Azam live.
Ee bwana meza zimechafuka beer kila pande watu wanamwagilia moyo ndipo wazo likaja inawezekana hawa jamaa msimu huu ndio huwa wana sales kubwa kuliko miezi yote.
Uzi tayari.
Uko deep jombaa.Ni variation mojawapo ya performance kwenye seasons, kuna Very high, High, mid-high Average low mid-low, very low,
Hii likert scale graphic portrayal inakupa picha ya Matukio au nyakati, festival season ni high season, na scatter distribution, hahaaa scatter graph biashara ni normal sana,
Sijui umewazaje kitu kizuri namna hii kwenye elimu ya biashara, wewe ni noma sanaSalamu wakuu.
Mambo yasiwe mengi, nipo sehemu napata kilaji huku nikicheki mechi ya Yanga na Azam live.
Ee bwana meza zimechafuka beer kila pande watu wanamwagilia moyo ndipo wazo likaja inawezekana hawa jamaa msimu huu ndio huwa wana sales kubwa kuliko miezi yote.
Uzi tayari.
Kuna seasons tofauti. hii ni festival season, muda na majukumu katika maana ya likizo vinachangia ni nyakati za leisure market segment, am ayo inaviambata vingi sana, kuna savings zinaandaliwa Kwa ajili ya matumizi nyakati hizi, pia show off, prestige, status na mambo mengine mengi. Muhimu ni high season ya mauzo ya vinywaji Kwa maana ya event au season ambayo ni holiday seasonKwa mtazamo wako mkuu unaonaje? Ni kweli ndio high season kipindi hiki upande wa biashara ya hawa jamaa?
Sikiliza ule wimbo wa ney wa mitego ndio utawajua vizuri waleviKweli walevi wote ni wambea wambea