The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kama Taifa kuna vitu tunadharau sana na mara nyingi vime Tu cost Sana na kwa sababu hatutaki kabisa kuvitazama na kuvifanyia kazi, pengine vitaendelea kutu cost sana.
Magonjwa ya akili ni jambo moja Taifa hili hatutaki kabisa kukaa chini na kuweka mipango ya kusaidia 'wagonjwa' wetu
Na kuzuia wengine wasiyapate.
Matokeo yake wagonjwa tunawapa vyeo vikubwa, wanadhuru watu na hata kujidhuru wenyewe. Ikitokea mgonjwa mmoja tumemkamata na kumuadhibu, basi tunafurahi na kuona tumemaliza.
Hatutaki kabisa kukaa chini na kujiuliza huyu mgonjwa ilikuwaje akapata hiki cheo?
Tufanyaje wagonjwa wengine wapate matibabu sahihi badala ya kuwapa vyeo wanakuja kudhuru watu na wao wenyewe?
Mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kuwa DC halafu akabeba walinzi binafsi kumsaidia kupora hela watu na kubaka wanawake.
Huyu hata akihukumiwa miaka 50.
Akasema 'tumemuonea' inawezekana kweli tumemuonea.
Hasa kama wagonjwa wenzake bado tunaishi nao na hatutaki kuwapa tiba.
Magonjwa ya akili ni jambo moja Taifa hili hatutaki kabisa kukaa chini na kuweka mipango ya kusaidia 'wagonjwa' wetu
Na kuzuia wengine wasiyapate.
Matokeo yake wagonjwa tunawapa vyeo vikubwa, wanadhuru watu na hata kujidhuru wenyewe. Ikitokea mgonjwa mmoja tumemkamata na kumuadhibu, basi tunafurahi na kuona tumemaliza.
Hatutaki kabisa kukaa chini na kujiuliza huyu mgonjwa ilikuwaje akapata hiki cheo?
Tufanyaje wagonjwa wengine wapate matibabu sahihi badala ya kuwapa vyeo wanakuja kudhuru watu na wao wenyewe?
Mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kuwa DC halafu akabeba walinzi binafsi kumsaidia kupora hela watu na kubaka wanawake.
Huyu hata akihukumiwa miaka 50.
Akasema 'tumemuonea' inawezekana kweli tumemuonea.
Hasa kama wagonjwa wenzake bado tunaishi nao na hatutaki kuwapa tiba.