Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Kama si haki kwann mboe afungwe??We Baba Jayaron, CCM ni dude kubwa mno, lipo kila pahala, ukitaka kuhakikisha hilo we kamuulize Mh. Membe, Polepole, Nape, January,Bushiru, Lowassa, Sumaye.. yaliyowakuta, kila mmoja kwa style yake.
Bila katiba mpya kupambana na CCM ni kazi nzito saana na ndiyo maana tunasema afungwe Mbowe asifungwe ni lazima kupambania Katiba tu.
Wachaga wanahusikaje hapa?Sabaya anaonewa la genge la wachaga
kaka kwa namna wale jamaa walivyofanyiziwa ni hatari mno lakini cha ajabu Jaji kakubaliana na hoja zote kwamba waliyotendewa ni sahihi ma ushahidi wa Kingai umepokelewa rasmi, kwa aibu Jaji kajitoa, sababu asingefanya hivyo Mbowe angemuomba asepe kwa kutokumwamini kitu ambacho ni aibu kwake na kwa taifa.Kama si haki kwann mboe afungwe??
Ccm inacheza na ujinga wa watanzania na wamewekeza kwenye huo mradi kwa nguvu zoote.
Sawa "mama sabaya".Sabaya anaonewa la genge la wachaga
Mkuu, serikali ya awamu ya sita haitamaliza awamu yake.Mbowe anafungwa lakini hii serikali ikipinduliwa tusije kumlaumu yeyote
Sabaya alitakiwa kweli kupimwa akili Kama yupo sawa mentally.
Ila amefungwa kimtego ili kumfunga Mbowe kwa upande wa pili na kuiua chadema.
Nafikiri Ni wakati Sasa wa Tundu Lissu kurudi na kuonyesha uongozi.
Umeandika kitu kikubwa sana lakini wachache sana watakuelewa mkuu. Binafsi nimekupata vema, na kusema ukweli Maofsini wagonjwa wa akili ni wengi sana, yaani unakuta kiongozi anafanya kitu unabaki unajiuliza huyu kweli yuko timamu!
Tundu Lissu naye ni miongoni mwa wagonjwa wengi viongozi tulionao nchini. Haijalishi tunampenda kiasi gani.Mbowe anafungwa lakini hii serikali ikipinduliwa tusije kumlaumu yeyote
Sabaya alitakiwa kweli kupimwa akili Kama yupo sawa mentally.
Ila amefungwa kimtego ili kumfunga Mbowe kwa upande wa pili na kuiua chadema.
Nafikiri Ni wakati Sasa wa Tundu Lissu kurudi na kuonyesha uongozi.
Binadamu kazi sana. Utulivu wa akili.Nilitamani mwendazake asife kwanza bila kupimwa akili. Lile lilikuwa pepo fedhuli.
Tanzania Sasa Kuna wagonjwa wa akili wengi ila tu basi watu wanapuuza Hilo tatizo kuanzia serikalini, kwenye mahusiano Kuna wagonjwa wengine vile tu tuna ignore hivo vitu hata aliyeenda zake chako ni chako alikuwa mgonjwa wa akili chakushangaza akawa na cheo kikubwa.
N. B kabla ya cheo kutolewa waweke na kipengele Cha kupita viongozi mental health zao kwanza
Sabaya Lengai Ole ni magonjwa mtambuka toka chuo St.Johns sema tu mamlaka za uteuzi huwa hazifuatilii na hata ukizioelekea mean mezani hazitaki kusikiliza zinaona zimepatia.Kama Taifa kuna vitu tunadharau sana na mara nyingi vime Tu cost Sana na kwa sababu hatutaki kabisa kuvitazama na kuvifanyia kazi, pengine vitaendelea kutu cost sana.
Magonjwa ya akili ni jambo moja Taifa hili hatutaki kabisa kukaa chini na kuweka mipango ya kusaidia 'wagonjwa' wetu
Na kuzuia wengine wasiyapate.
Matokeo yake wagonjwa tunawapa vyeo vikubwa, wanadhuru watu na hata kujidhuru wenyewe. Ikitokea mgonjwa mmoja tumemkamata na kumuadhibu, basi tunafurahi na kuona tumemaliza.
Hatutaki kabisa kukaa chini na kujiuliza huyu mgonjwa ilikuwaje akapata hiki cheo?
Tufanyaje wagonjwa wengine wapate matibabu sahihi badala ya kuwapa vyeo wanakuja kudhuru watu na wao wenyewe?
Mtu mwenye akili ya kawaida hawezi kuwa DC halafu akabeba walinzi binafsi kumsaidia kupora hela watu na kubaka wanawake.
Huyu hata akihukumiwa miaka 50.
Akasema 'tumemuonea' inawezekana kweli tumemuonea.
Hasa kama wagonjwa wenzake bado tunaishi nao na hatutaki kuwapa tiba.
Sabaya Lengai Ole ni magonjwa mtambuka toka chuo St.Johns sema tu mamlaka za uteuzi huwa hazifuatilii na hata ukizioelekea mean mezani hazitaki kusikiliza zinaona zimepatia.
To hint up, tabia zizo za mfanano huo kwa mtu aliyemjua au kusoma nae pale Dom Nasikia na nina uhakika hawezi kushangaa kamwe.
Sema tu mengi tulishaayandika humu na pengine, kwa sasa ni useless. Nachukia sana maandiko rejea yaliyopuuzwa mwanzo
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app