Inawezekana siasa za Urusi ziliwafanya wagunduzi wao wakafa msikini

Haahahaha umemaliza kila kitu hapo kwenye bold. Ni kweli kwa kiasi fulani dini zimeturudisha nyuma mana tunaongozwa na mahaba ya kiimani hata kwenye masuala yanayohitaji userious na ndio maana nashangaa China wasio endekeza dini wanatuzidi maendeleo sisi ambao 90% tuna dini
 
Hii makala inanikumbusha mchora ramani B.J. Amuli aliyechora ramani ya soko la kariakoo na hakulipwa hata mia kwa kuwa alikuwa mtumishi wa serikali.
 
Mkuu sijakuelewa hapo ujamaa wa Urusi una tofauti gani na ujamaa wa Tanzania kiasi kwamba aurusi wajenge nchi tajiri ila wananchi maskini alafu Tanzania tujenge nchi maskini yenye watu maskini

Embu nitoe tongotongo kwanza
 
Naam sahihi kabisa chief...na hiki ndio kilicho wamaliza wazee wetu pia "" na kuwafanya watesi wao wasiweze kupokea changamoto zozote toka kwo wakati wa biashara ya utumwa ....SAMEHE SABA MARA SABINI " ..
KISASI NI HAKI LAKINI KUSAMEHE NI BORA ZAIDI"""....umefafanua vyema kabisa
 
hahaha " Sera ilishakufa hiyo mkuu" kinachofanyika sasa kuhusu azimio la arusha na kigoda cha mwalimu "" ni kiini macho tu "" na kuwa fumba fikira wakina sie "" tusipate kushtuka kuwa kuna wanaoitafuna keki ya taifa "peke yao "

Malcom Lumumba "
Ila kule Twitter jamaa Polepole anabanwa mbavu na kina Maria Sarungi aebaki kukomaa kwamba bado tupo kwenye ujamaa
 
Ila kule Twitter jamaa Polepole anabanwa mbavu na kina Maria Sarungi aebaki kukomaa kwamba bado tupo kwenye ujamaa
Mkuu " unamsikiliza yule " Jamaa" kweli " yule tangu apewe na fasi ya kukaimu ile nafasi " basi akili zake zimesinzia ghafla""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…