Pre GE2025 Inawezekana tukapata KATIBA MPYA Mizengo Pinda akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Pre GE2025 Inawezekana tukapata KATIBA MPYA Mizengo Pinda akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
 
Leo umenena vyema! Hawa ni walafi wa rasilimali tu
Na huo ndo ukweli. Hofu ya madaraka ndo inasababisha haya yote.

Hakuna lolote la msingi kwenye hili. It's just kundi hili linataka kula keki ya taifa hivyo ili walitoe kundi lingine inabidi walifitini kwa mwenyekiti na Rais. Kwa kuwa Rais nae anajaa haraka analitoa kundi hili na kuweka kundi lingine.

Ukiangalia kwa umakini yote haya yanafanywa kwa maslahi binafsi ya watu wa hayo makundi. Na akitolewa wa kundi hili kundi lingine linafurahi. Akiwekwa wa kundi hili kundi lile linaanza kampeni si mitandaoni si chamani kupiga fitna ili huyo mtu atolewe.

Kwa kifupi tupambane sana tupate Katiba Mpya ili nchi sasa iongozwe na mifumo imara maana hiki chama kimeshafika mwisho. Wanawaza madaraka tu
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
Constitution is the mother of every country.
Constitution is everything.
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
Ccm mafisadi Wana hofu ya mabadiliko, sisi wazalendo na wanaharakati tunataka katiba mpya sasa
 
Pinda ni wale wale tu. Pinda ni mkimya kwa maslahi yake na ukiona wake.......lengo lake mdogo wake Godfrey Pinda aendelee kufyonza mema ya nchi

Kuna watoto wake wa kuzaa karibu wanamalizia masomo nje ya nchi. Anataka wakirudi nchini wafikie ofisini (nafasi za kuteuliwa).
 
Pinda ni wale wale tu. Pinda ni mkimya kwa maslahi yake na ukiona wake.......lengo lake mdogo wake Godfrey Pinda aendelee kufyonza mema ya nchi

Kuna watoto wake wa kuzaa karibu wanamalizia masomo nje ya nchi. Anataka wakirudi nchini wafikie ofisini (nafasi za kuteuliwa).
Nepotism inaliharibu sana hili taifa. Ndo mana nasisitiza kuna umuhimu mkubwa sana wa kupata Katiba Mpya.

Nasisitiza tena mkwamo wa hii nchi unatokana na Katiba yetu ambayo inaweka mazingira ya nepotism ku thrive na sio merit.

Huyo mdogo wake naskia anajiaminigi sana kwa sababu ya Kaka yake. Naskia anawatishaga sana Wakurugenzi wa Halmashauri za mkoa wa Katavi kwa kujifanya yupo karibu na mamlaka.

Inaelekea kaka yake akiwa Makamu Mwenyekiti ndo watakoma sasa!
 
CCM hawawezi kukupa katiba mpya na hata ikitokea wameamua basi itakuwa ni kwa masalahi ya chama chao na si vinginevyo...

Hiki chama ni mabavu na hakuna wa kukifanya lolote labda Mungu...
Kwenye hili. Ni muhimu kwa dola kuonesha yenyewe ni dola kweli. Maana unachosema kina ukweli kwa sehemu kubwa.
 
Back
Top Bottom