Pre GE2025 Inawezekana tukapata KATIBA MPYA Mizengo Pinda akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Pre GE2025 Inawezekana tukapata KATIBA MPYA Mizengo Pinda akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM hawawezi kukupa katiba mpya na hata ikitokea wameamua basi itakuwa ni kwa maslahi ya chama chao na si vinginevyo...

Hiki chama ni cha mabavu na hakuna wa kukifanya lolote labda Mungu...
Ni chama cha hovyo sn lakini baada ya miaka 10 kitaeleweka maana watu wamechoshwa na ufisadi
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
TISS , Baraza kuu na wahusika wote ukweli ni kwamba 2025 tunahitaji Rais mpya hakuna wito Zaidi ya huo, Bibi hapana hapana hata kama anafaa kwa Dunia ya sasa umri wake hapana ikulu sio sehemu ya majaribio na bahati nasibu.
 
Kwenye hili. Ni muhimu kwa dola kuonesha yenyewe ni dola kweli. Maana unachosema kina ukweli kwa sehemu kubwa.

Sasa dola ya JMT si imeundwa na hao hao CCM kwa 100% kuanzia serikali kuu, bunge na mahakama...
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
Mizengo Pinda ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa ccm wanaopinga kabisa Katiba mpya, huyu ni mtu aliyepitwa na aakati ambaye hata rushwa hajawahi kuipiga vita.

Katiba Mpya italetwa kwa mashinikizo ya Wananchi wenyewe
 
CCM inapata kigugumizi kuleta katiba yenye kulinda rasilimali za nchi, katiba inayowapa nguvu wananchi kuchagua viongozi wawatakao na inayowawajibisha viongozi wanaohujumu nchi kwa maamauzi yao mabovu. CCM ni shetani.
 
Pamoja na mapungufu yake mengi, ninachomkubali Mizengo Pinda ni uumini wake kwenye Katiba Mpya. Nilishawahi muangalia akitoa maoni TBC akiwa mjumbe wa kikosi cha kutazama hali ya demokrasia nchini na kusema kweli aliunga mkono suala la Katiba Mpya.

Pamoja na mapungufu yake mengi ,ninachomkubali Mizengo Pinda ni pale aliposimama waziwazi kupinga kurejeshwa kwa Bashite CCM kwa hoja kuwa huyu mtu ana mapungufu mengi.

Pamoja na mapungufu yake mengi, Pinda ni mkweli sana. Na ana tabia ya kushauri ukweli kwenye ukweli.

Hakuna ubishi kuwa kisiasa Kinana ndo Legend wa siasa za Tanzania. Sidhani kama kuna mtu anamuweza huyu mtu. Ufahamu wake kwa siasa za ndani na nje ya nchi sidhani kama kuna mwana CCM anayemfikia kwenye hili.

Ni ukweli pia kuwa Kinana amezeeka, na anazeeka kila siku. Kwa umri wake ni kumuonea kumuweka kwenye siasa za purukushani. Alishawahi omba kupumzika huko nyuma na sasa inasemwa ameomba. Aachwe apumzike kwa kuwa kweli amechoka kutokana na kufanya kazi sana.

Vyovyote vile, hofu yangu kubwa sio vita ndani ya CCM bali ni namna nchi yetu itaweza pata Katiba Mpya na bora chini ya CCM hii ya sasa ambao ni power mongers!

Hofu yangu Lord denning ni makundi hasimu ya CCM ambayo kusema kweli nia yao ni kukamata dola kwa maslahi yao na wala sio kuibadilisha hii nchi iwe na maendeleo ya kweli! Sasa kuna kundi linaweza kutupa Katiba Mpya na iliyo bora?

Ukiangalia kwenye mitandao, utagundua hizi tumbua tumbua, toa huyu weka yule zinafanyika kama sehemu ya power struggle tu. Hazina maana yeyote kwa nchi na wananchi. Na hii ni ishara kuwa akilini mwa hawa watu ni madaraka tu!

Napenda kumaliza kwa kusema, vyovyote vile, the future of Tanzania is not promising. TISS watusaidie tupate Katiba Mpya na bora haraka sana!
Tulia kwanza. Usiongee ukiwa na hasira.
 
TISS imelinda umilele wa chama chetu ccm kushika Dola !Sasa yanawatokea puani!!

Yaani kama wangeandaa vyama mbadala mapema leo wangetuacha ccm na maugomvi yetu ya madaraka na kukimbilia chama kingine na kukipa Dola Ili kirekebishe taswira ya uchu,wizi,mauaji na kijicho vilivyomo ndani ya chama!

Leo wanakazi ya kuparuana wao kwa wao wakiwa wamegawanyika wakilinda wanaowaunga mkono ndani ya chama!!

Sarakasi za kutoana roho zinawatokea puani!!!wanachama hawaachiani maji mezani!
 
Back
Top Bottom