Inawezekana tukawa tumenunua VAR kwaajili ya urembo

Inawezekana tukawa tumenunua VAR kwaajili ya urembo

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
 
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kwanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu. Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.
Hakika
 
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
sikia var huwezi kuitumia bila kibali cha fifa,hivi sasa tunasubiri kibali cha fifa
 
VAR unaweza kuitumia popote pale, saa yoyote ile bila kibali cha Fifa. Wenye hati miliki ya VAR sio fifa ni makampuni.
Kwenye mashindano rasmi ya Fifa ndio Fifa hutumika kupima standard za VAR na miongozo ya kuweza kuitumia VAR.

TFF wamechemka tu.
 
ndio hivyo ni lazima fifa waidhinishe,japo mafunzo yamefanyika chini ya mkufunzinwa fifa leslie liunda,na fifa wataidhinisha soon
Mechi za Sumba vs APR na Yanga vs Red Arrows na Derby ya tarehe 8 kutumia VAR hadi FIFA waidhinishe? Tokea VAR inunuliwe mpaka leo ni muda gani umepita? Kwanini hizo process za FIFA hazikufanyika mapema? Mechi ya kesho ilikuwa ndio mwanzo wa kuonesha wapenzi wa mpira Tanzania kuanza kupata mechi yenye maamuzi sahihi kwenye matukio tata.
 
VAR unaweza kuitumia popote pale, saa yoyote ile bila kibali cha Fifa. Wenye hati miliki ya VAR sio fifa ni makampuni.
Kwenye mashindano rasmi ya Fifa ndio Fifa hutumika kupima standard za VAR na miongozo ya kuweza kuitumia VAR.

TFF wamechemka tu.
Kwa kweli ina shangaza VAR hadi sasa imegeuka urembo wakati tarehe 8 ndio ilikuwa sehemu sahihi ya kuanza kutumika.
 
Naona hadi fainali ya ngao ya jamii haitumiki VAR, yaani watanzania tuna matatizo makubwa sana ya kiuongozi
 
VAR ingetumika mechi ilopita ya Simba vs Yanga basi Simba angekufa si chini ya goli nne !
 
Bora tumejua mapema janja ya Azam media maana wanahofia ushindani wa makampuni ya nje.
 
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Kama yule robot wa waziri wa mtama
 
VAR haitotumika mana ht wanaotakiwa kuitumia hawajafundishwa namna ya kuitumia
 
Usishangae ikawa mpaka mzunguko wa pili ndio ikaanza kutumika au ht msimu ujao [emoji23]
Mkuu hili linatia mashaka sana, yaani inatambulishwa uwepo wa VAR kwenye NBC lakini mpaka sasa tunaenda mechi za pili lakini hakuna hata kinachozungumzwa kuhusu VAR ni wazi kuna vitu havipo sawa na inaonesha jinsi ambavyo hatupo serious
 
Mkuu hili linatia mashaka sana, yaani inatambulishwa uwepo wa VAR kwenye NBC lakini mpaka sasa tunaenda mechi za pili lakini hakuna hata kinachozungumzwa kuhusu VAR ni wazi kuna vitu havipo sawa na inaonesha jinsi ambavyo hatupo serious
Wabongo hatujawahi kuwa serious
 
Back
Top Bottom