Inawezekana tukawa tumenunua VAR kwaajili ya urembo

Inawezekana tukawa tumenunua VAR kwaajili ya urembo

Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Nchi hii janjajanja na blaa blaa zimetawala, huoni uwanja wa mkapa toka ufungwe kwa marekebisho unatimiza mwaka na ushehe hakuna kitu cha kuonyesha kuna ukarabati wa maana, Zanzibar uwanja wa aman imewachukua miezi 8 tu kuukarabati na kuwa na muonekano safi na wakisasa🚮🚮🚮
 
K
Mechi za Sumba vs APR na Yanga vs Red Arrows na Derby ya tarehe 8 kutumia VAR hadi FIFA waidhinishe? Tokea VAR inunuliwe mpaka leo ni muda gani umepita? Kwanini hizo process za FIFA hazikufanyika mapema? Mechi ya kesho ilikuwa ndio mwanzo wa kuonesha wapenzi wa mpira Tanzania kuanza kupata mechi yenye maamuzi sahihi kwenye matukio tata.
Kwani tumenunua kwa hela zetu hiyo VAR? Sio kwamba ililetwa kama msaada na majaribio.
 
Hahahahaha, kelele zenu mashabiki za kutaka VAR ndio iliyopelekea watu waombe bajeti wapige hela , ila msihofu uwanja ukikamilika itafungwa bado uko ktk marekebisho.....

NB : aliyekula kala
 
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Wameenda training nje ya nchi, subiria warud watakaa chumbani kwao
 
K
Mechi za Sumba vs APR na Yanga vs Red Arrows na Derby ya tarehe 8 kutumia VAR hadi FIFA waidhinishe? Tokea VAR inunuliwe mpaka leo ni muda gani umepita? Kwanini hizo process za FIFA hazikufanyika mapema? Mechi ya kesho ilikuwa ndio mwanzo wa kuonesha wapenzi wa mpira Tanzania kuanza kupata mechi yenye maamuzi sahihi kwenye matukio tata.
Kwani tumenunua kwa hela zetu hiyo VAR? Sio kwamba ililetwa kama msaada na majaribio.
 
Fifa hawacheleweshi mambo, hapa itakuwa tumepigwa tena kama ilivyoada.
hapana kupigwa,kwanza hizo var zimenunuliwa na azam sio tff,na zimenunuliwa ujerumani kwa specifications za fifa ,wakati tunasubiri kibali cha fifa mafunzo yanaendelea na fifa watakuja kukagua wao hapa tanzania ndio watatoa kibali
 
hapana kupigwa,kwanza hizo var zimenunuliwa na azam sio tff,na zimenunuliwa ujerumani kwa specifications za fifa ,wakati tunasubiri kibali cha fifa mafunzo yanaendelea na fifa watakuja kukagua wao hapa tanzania ndio watatoa kibali
Kwa matumizi ya msimu ujao wa ligi?
 
V.A.R haitumiki kama unavyotumia simu yako, inahitaji vibali kutoka kwa wenye mpira wao pamoja na wataalam wa kuiendesha
 
V.A.R haitumiki kama unavyotumia simu yako, inahitaji vibali kutoka kwa wenye mpira wao pamoja na wataalam wa kuiendesha
Ndio umeandika kitu gani? Tokea iletwe hadi sasa imepita miezi mingapi? Kama kufatilia vibali tokea kipindi kile mpaka sasa ingekuwa wameshapata na hao wataalam kama wangepeleka mafunzo mpaka sasa wangekuwa wameshahitimu. Hapo ni usanii tu
 
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga.

VAR ilipaswa kuanza kutumika kuanzia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya APR na mechi ya Yanga vs Red Arrows ikiwa lengo ni kufanya najaribio kisha mechi ya ngao ya jamii ingetumika pia hiyo VAR ili kuendelea kuufanyia majaribio kuelekea msimu mpya wa ligi kuu.

Cha ajabu inatoka orodha ya waamuzi watakao simamia mchezo wa Yanga dhidi ya Simba lakini waamuzi wa chumba cha VAR hakuna maanake bado VAR bado ni pambo hadi sasa.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC
Ulikuwa mbele ya muda
 
Msimu unaisha bila hata kutumika V.A.R hata mechi moja, haya si ni matumizi mabaya ya fedha? TFF wameshindwa hata kutoa ufafanuzi kama tatizo ni nini hakuna wa kutumia, au imenunuliwa mbovu au haikununuliwa kabisa? Hii nchi hii.
 
Back
Top Bottom