Inawezekana vigogo wanachepusha maji yasiingie Mtera

Inawezekana vigogo wanachepusha maji yasiingie Mtera

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Haiwezekani TANESCO mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme, kweli?

Hivi mnatuonaje? Marehemu Magufuli alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana huyu mama hana habari so kucheza hiyo michezo kwenu ni kawaida kabisa.

TANESCO mjiangalie
 
Haiwezekani Tanesco mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme , kweliii ? Hivi mnatuonaje ? Marehem JPM alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana huyu mama hana habari so kucheza hiyo michezo kwenu ni kawaida kabisa. Tanesco mjiangalie
Sasa mama hawezi ila kumtoa hapo juu labda mlete grader
 
Haiwezekani Tanesco mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme , kweliii ? Hivi mnatuonaje ? Marehem JPM alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana huyu mama hana habari so kucheza hiyo michezo kwenu ni kawaida kabisa. Tanesco mjiangalie
Nilifikiri una ushahidi,kumbe ni dhana tu?
 
Walishasema tusitegemee mvua kujaz mabwawa
 
Tanzania hii chini ya CCM,chochote kinawezekana.
Serikali haipo na wananchi tupo kama maiti.
 
Tafadhali usiwaite vigogo, tafuta majina mazuri yanayowastahili.
 
Usichangae kwa viongozi wetu linawezekana, ni wakoloni weusi
 
Haiwezekani TANESCO mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme, kweli?

Hivi mnatuonaje ? Marehemu Magufuli alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana huyu mama hana habari so kucheza hiyo michezo kwenu ni kawaida kabisa.

TANESCO mjiangalie
Wanakuona kama mpumbavu Kwa sababu hai make sense Vigogo wowote Nchi hii wanachepusha maji.

Kwanza ni upumbavu tuu mliodanganywa na yule aliyewaona wajinga ndio maana alitunga uongo Ili kuwatawala na mkauamini.
 
Haiwezekani TANESCO mkatuambia kwamba hizi mvua zote zinazoharibu mashamba ya miwa kufanya sukari iuzwe 5000 kilo eti haziingii kwenye bwawa la kuzalisha umeme, kweli?

Hivi mnatuonaje ? Marehemu Magufuli alisema mliwahi kuchepusha maji yasiingoe Bwawani si ajabu tena mmerudia huo mchezo maana huyu mama hana habari so kucheza hiyo michezo kwenu ni kawaida kabisa.

TANESCO mjiangalie
Kuna haja sasa wa wahusika kutoka hadharani na kutupa maelezo yaliyoonyooka juu ya sababu za mgao huu unaoendelea!
 
Back
Top Bottom