Inawezekana vipi kwa hili kwa mtu wa aina hii...?!

Inawezekana vipi kwa hili kwa mtu wa aina hii...?!

The MoNA

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
4,168
Reaction score
10,184
Messi ni mchezaji mashuhuri awapo uwanjani.Ni aina ya mchezaji aliyejaaliwa kila kitu katika Ufundi,unyumbulifu wa Mpira.

Nyuma ya pazia kwa hivi karibu Messi amekutwa na shitaka na ukwepaji Kodi,takribani dola za kimarekani millioni 4.5,kwa kupeleka mali hizo kwenye visiwa visivyolipa kodi vya BELIZE & URUGUAY.
Alhamisi ya tarehe 2/6/2016 Messi pamoja na baba yake Jorge watafikishwa mahakamani kujibu shtaka hili la kuficha haki miliki ya sura ya Messi,imetabanaishwa na mamlaka ya ushuru nchini uhispania...
Mshitaki ambaye ni mamlaka hiyo ya ushuru nchini humo,inataka washtakiwa hao wafungwe badala ya faini ili iwe fundisho...!!!
 
Messi ni mchezaji mashuhuri awapo uwanjani.Ni aina ya mchezaji aliyejaaliwa kila kitu katika Ufundi,unyumbulifu wa Mpira.

Nyuma ya pazia kwa hivi karibu Messi amekutwa na shitaka na ukwepaji Kodi,takribani dola za kimarekani millioni 4.5,kwa kupeleka mali hizo kwenye visiwa visivyolipa kodi vya BELIZE & URUGUAY.
Alhamisi ya tarehe 2/6/2016 Messi pamoja na baba yake Jorge watafikishwa mahakamani kujibu shtaka hili la kuficha haki miliki ya sura ya Messi,imetabanaishwa na mamlaka ya ushuru nchini uhispania...
Mshitaki ambaye ni mamlaka hiyo ya ushuru nchini humo,inataka washtakiwa hao wafungwe badala ya faini ili iwe fundisho...!!!
atumbuiwe...
 
Back
Top Bottom