Inawezekana vipi Mtanzania akawa mwanajeshi wa jeshi la Marekani?

Inawezekana vipi Mtanzania akawa mwanajeshi wa jeshi la Marekani?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu,

Ebu nifumbueni macho, nahisi huyu cousin wangu ananipiga kamba.

Iko hivi, alimaliza form 6 hapa bongo mwaka 2009 akaitwa na dada zake wako huko Texas marekani, lengo alitakiwa akasome chuo huko masuala ya IT.

So chuo alimaliza ila hakurudi bongo tena, akawa anafanya kazi kwenye kampuni moja ya usafirishaji huko marekani.sasa toka mwaka huu uanze mawasliano na yeye yakakata ghafla.nilikua nikimcheck WhatsApp naona message hazisomwi na last seen ni January 23 mwaka huu.

Leo nimeona kanitumia picha yake kavaa nguo za jeshi zenye nembo ya bendera ya USA imeandikwa Marine na jina la jamaa.

Kaniambia kaamua hayo ndiyo yawe maisha yake mapya.tumepiga story mbili tatu akaniambia wanaweza wakawa deployed nchi flani iko middle East muda wowote Ili kuwapokea zamu wenzao ambao wanatakiwa kurudi Marekani.

Sasa sijaelewa, kwa kumbukumbu zangu huyu ndugu yangu sikumbuki kama amewahi kuukana uraia wa Tanzania.sasa inakuaje aweze kuwa mwanajeshi wa jeshi la marekani?
 
Kwa marekani inawezekana, wanajeshi wao wengi sio warekani halisi, na sijui wanawezaje kuwamanage.

Sijawahi kusikia hata wameasi
 
Sema huyo jamaa ameamua kujilipua haswa.wabongo wengi na hata wakenya huwa wanaishia kwenye US Army tu.sasa huyo kaamua kuwa marine kabisa.
Kwa wasioelewa, askari wa marekani wanaokua front muda wote vitani ndio huwa wanaitwa marine.trainings zao huwa ni heavy kulinganisha na wenzao wa vikosi vingine.
 
Wakuu
Ebu nifumbueni macho,nahisi huyu cousin wangu ananipiga kamba .
Iko hivi, alimaliza form 6 hapa bongo mwaka 2009 akaitwa na dada zake wako huko Texas marekani, lengo alitakiwa akasome chuo huko masuala ya IT.

so chuo alimaliza ila hakurudi bongo tena, akawa anafanya kazi kwenye kampuni moja ya usafirishaji huko marekani.sasa toka mwaka huu uanze mawasliano na yeye yakakata ghafla.nilikua nikimcheck WhatsApp naona message hazisomwi na last seen ni January 23 mwaka huu.
Leo nimeona kanitumia picha yake kavaa nguo za jeshi zenye nembo ya bendera ya USA imeandikwa Marine na jina la jamaa.

kaniambia kaamua hayo ndiyo yawe maisha yake mapya.tumepiga story mbili tatu akaniambia wanaweza wakawa deployed nchi flani iko middle East muda wowote Ili kuwapokea zamu wenzao ambao wanatakiwa kurudi marekani.

Sasa sijaelewa, kwa kumbukumbu zangu huyu ndugu yangu sikumbuki kama amewahi kuukana uraia wa Tanzania.sasa inakuaje aweze kuwa mwanajeshi wa jeshi la marekani?
Hata ukiwa na green card ukaenda kuwa permanent resident wa Marekani unaweza kwenda jeshini ku apply ukaingia jeshini maana makazi yako ya kudumu ni Marekani, kumbuka green card holders sio Raia halali wa Marekani ni wakazi wa kudumu wa Marekani muda wote wapo huko na ukihitaji kuwa Raia sasa rasmi wa Marekani ndipo inabidi ukane uraia wako wa awali wa Mtanzania Uape kuwa mmarekani na hapo sasa ukija bongo utakuwa kama mtalii kutoka Marekani na sio tena mtanzania....ila usipofanya kiapo cha ku ukana uraia wako utaenda tu jeshi kwao ukiona miyeyusho unarudi zako bongo kama Kawa..Huyo ndugu yako ana makazi ya kudumu toka 2009 hadi leo ndio maana yupo jeshini...
 
Hata ukiwa na green card ukaenda kuwa permanent resident wa Marekani unaweza kwenda jeshini ku apply ukaingia jeshini maana makazi yako ya kudumu ni Marekani, kumbuka green card holders sio Raia halali wa Marekani ni wakazi wa kudumu wa Marekani muda wote wapo huko na ukihitaji kuwa Raia sasa rasmi wa Marekani ndipo inabidi ukane uraia wako wa awali wa Mtanzania Uape kuwa mmarekani na hapo sasa ukija bongo utakuwa kama mtalii kutoka Marekani na sio tena mtanzania....ila usipofanya kiapo cha ku ukana uraia wako utaenda tu jeshi kwao ukiona miyeyusho unarudi zako bongo kama Kawa..Huyo ndugu yako ana makazi ya kudumu toka 2009 hadi leo ndio maana yupo jeshini...
Nimekupata mkuu
 
So inawezekana mtu asiye raia akawa mwanajeshi wao huko?
Ndio inawezekana kabisa kupitia kuwa mkazi wa kudumu wa . Marekani wenyewe wana ita Green card lottery... ukifanikiwa kupata hii jeshini unaenda vizuri kabisa Marekani
 
Wakuu
Ebu nifumbueni macho,nahisi huyu cousin wangu ananipiga kamba .
Iko hivi, alimaliza form 6 hapa bongo mwaka 2009 akaitwa na dada zake wako huko Texas marekani, lengo alitakiwa akasome chuo huko masuala ya IT.

so chuo alimaliza ila hakurudi bongo tena, akawa anafanya kazi kwenye kampuni moja ya usafirishaji huko marekani.sasa toka mwaka huu uanze mawasliano na yeye yakakata ghafla.nilikua nikimcheck WhatsApp naona message hazisomwi na last seen ni January 23 mwaka huu.
Leo nimeona kanitumia picha yake kavaa nguo za jeshi zenye nembo ya bendera ya USA imeandikwa Marine na jina la jamaa.

kaniambia kaamua hayo ndiyo yawe maisha yake mapya.tumepiga story mbili tatu akaniambia wanaweza wakawa deployed nchi flani iko middle East muda wowote Ili kuwapokea zamu wenzao ambao wanatakiwa kurudi marekani.

Sasa sijaelewa, kwa kumbukumbu zangu huyu ndugu yangu sikumbuki kama amewahi kuukana uraia wa Tanzania.sasa inakuaje aweze kuwa mwanajeshi wa jeshi la marekani?

Jibu ni ndio Mkuu, inawezekana ukawa sio raia wa Marekani na bado ukaruhusiwa kuwa mwanajeshi wao. Wenzetu wanaiamini mifumo yao ya intelijensia, kiasi cha kumudu kutenganisha wabaya na wazuri. Hata hivyo ni vizuri kufahamu kwamba wakati ukiwa ni mwanajeshi wa aina hii, kuna baadhi ya fursa hutaruhusiwa kuzifikia mpaka utakapokuwa raia kamili.

Miongoni mwa vigezo vya kuwa U.S. military, non-citizens ni:
1. Uwe mkazi wa kudumu na unayeishi kisheria United States

2. Uwe na ruhusa ya kufanya kazi United States

3. Umiliki kadi ya mkazi wa kudumu inayojulikana kwa ufupi kama I-551 na

4. Elimu yako ya juu uwe umeipata US, pamoja na kuwa na uwezo mzuri wa kuongea Kingereza.
 
Back
Top Bottom