Inawezekana vipi Mtanzania akawa mwanajeshi wa jeshi la Marekani?

Unauliza maswali ya kitoto sana.
US hawako na complications kama zenu bongo
Ku uliza si ujinga? Mtu kaomba ushauri Mpe ushauri kama huwezi nyamaza sio kuleta kejeli zako zisizo na msingi...shame on you[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Mkuu kyagata naomba nikutanie kidogo, angalia jamaa asije akakushawishi ukaikimbia nchi. Baki bongo upambane na Utumishi, nafasi yako ya kuingia kwenye mrija wa asali (ajira) ipo tena kitengo kizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…