Inawezekana wengi hatukusoma vizuri na kuelewa masharti ya mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya Mikopo(HESLB)

Inawezekana wengi hatukusoma vizuri na kuelewa masharti ya mkataba kati ya mwanafunzi na Bodi ya Mikopo(HESLB)

Elythrobacter

Member
Joined
Sep 29, 2020
Posts
47
Reaction score
94
Nimepitia masharti niliyosaini katika mkataba wa kuomba mpoto wa kufadhiri masomo yangu ya elimu ya juu,kati yangu na Bodi ya mikopo (HESLB) nimegundua sikuelewa na hata kama ningeelewa ningesaini tu, kwa sababu ya uhitaji niliokuwa nao.

Lakini kuna masharti magumu sana hasa ukizingatia hatujui kama tutapata ajira. Moja ya masharti yaliyonifanya niandike hapa ni haya hapa;

2.16 Mkopo huu utatozwa asilimia sita au asilimia nyingine itakayopangwa na bodi kwa mwaka kama garama ya kuhifadhi dhamani ya fedha (value retention fee) zitakazokopeshwa na asilimia moja ambayo ni gharama ya usimamizi wa mkopo (administrative fee) ambazo zitalipwa pamoja na marejesho ya mkopo.

2.17 Bodi itatoza asilimia 10% ya mkopo kwa mwaka kama adhabu ya kuchelewa kurejesha mkopo katika muda uliowekwa na bodi.

Najiuliza haya maswali:
- Hivi muda uliowekwa na bodi wa kurejesha mkopo ni miaka mingapi?
- Na ikitokea umestaafu hujarudisha mkopo wote inakuwaje?

- Ikitokea sijapata ajira kabisa katika maisha yangu niwa machinga tu au mkulima? Ntakamatwa na kesi ya madai?
- Je, wale walopata ajira nje ya nchi wanarejeshaje mkopo?
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana.

Mikopo inalipwa mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo.

Ukistaafu na hujamaliza deni bc utaliwa kwenye pesa yako ya kiinua mgongo.

Mm naomba serikali iwakamate wote ambao hawajalipa madeni yao mkachimbe mifereji ya kupitisha bomba la mafuta kutoka uganda hadi tanga na hakuna kulipwa adi deni liwe limeisha 😂😂😂.

Waliopata ajira nje ya nchi, sijajua utaratibu ila nawahakikishia kuwa mtalipa tuu mana 'ukila lazima uliwe'
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana....
Mkataba was mwaka huu unasema malipo yataanza kulipwa miezi 24 baada ya kuhitimu masomo = Miaka 2
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana.

Mikopo inalipwa mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo.

Ukistaafu na hujamaliza deni bc utaliwa kwenye pesa yako ya kiinua mgongo.

Mm naomba serikali iwakamate wote ambao hawajalipa madeni yao mkachimbe mifereji ya kupitisha bomba la mafuta kutoka uganda hadi tanga na hakuna kulipwa adi deni liwe limeisha 😂😂😂.

Waliopata ajira nje ya nchi, sijajua utaratibu ila nawahakikishia kuwa mtalipa tuu mana 'ukila lazima uliwe'
Una roho mbaya kinyama 😂😂😂😂
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana.

Mikopo inalipwa mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo.

Ukistaafu na hujamaliza deni bc utaliwa kwenye pesa yako ya kiinua mgongo.

Mm naomba serikali iwakamate wote ambao hawajalipa madeni yao mkachimbe mifereji ya kupitisha bomba la mafuta kutoka uganda hadi tanga na hakuna kulipwa adi deni liwe limeisha [emoji23][emoji23][emoji23].

Waliopata ajira nje ya nchi, sijajua utaratibu ila nawahakikishia kuwa mtalipa tuu mana 'ukila lazima uliwe'
tunao kwepa kulipa tukipita comment hii lazima tukushukie kama mwewe
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana.

Mikopo inalipwa mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo.

Ukistaafu na hujamaliza deni bc utaliwa kwenye pesa yako ya kiinua mgongo.

Mm naomba serikali iwakamate wote ambao hawajalipa madeni yao mkachimbe mifereji ya kupitisha bomba la mafuta kutoka uganda hadi tanga na hakuna kulipwa adi deni liwe limeisha 😂😂😂.

Waliopata ajira nje ya nchi, sijajua utaratibu ila nawahakikishia kuwa mtalipa tuu mana 'ukila lazima uliwe'
Kulipa ni lazima, ila hizo taratibuza kulipa ndo sikuzisoma wakati naomba,
Japo hiyo kauli yako ya mwisho imenichekesha, kwamba lazima tuliwe!!!!
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana....
Hata wewe uliyesoma zamani bure kwa kulipiwa na serikali na wewe ulipe
 
Wangeunganisha mikopo na TIN ya TRA. Pia ingeunganishwa na PASSPORT. Wengi wangepatikana.
Wangefanya hivi,hata wale jamaa wakujigamba kujiajiri wangelipata joto 😂😂
 
Kulipa ni lazima, ila hizo taratibuza kulipa ndo sikuzisoma wakati naomba,
Japo hiyo kauli yako ya mwisho imenichekesha, kwamba lazima tuliwe!!!!
Kuliwa lazimam uliwe tu 😂😂😂 sa unakuta mwanaume mzima anafurahia boom afu kulipa hatak sasa sisi kama serikali tufanyaje
 
Kama mkataba ndo unasema hvy bc lipeni tuu ili wengine wasome, sasa nyie wote mkitafuta visingizio ety nisipoajiriwa mfumo rasmi watanipataje.! Acheni hizo bhana.

Mikopo inalipwa mwaka mmoja baada ya kumaliza chuo.

Ukistaafu na hujamaliza deni bc utaliwa kwenye pesa yako ya kiinua mgongo.

Mm naomba serikali iwakamate wote ambao hawajalipa madeni yao mkachimbe mifereji ya kupitisha bomba la mafuta kutoka uganda hadi tanga na hakuna kulipwa adi deni liwe limeisha [emoji23][emoji23][emoji23].

Waliopata ajira nje ya nchi, sijajua utaratibu ila nawahakikishia kuwa mtalipa tuu mana 'ukila lazima uliwe'
Piga spana,
 
Piga spana,
Hawasom vigezo na mashart kuzingatiwa hlf hawatak kulipa deni wakat walikuwa wanacheka cheka wakienda 🏧 tena unakuta mwanaume mzima anaenda na demu wake ATM
 
Back
Top Bottom