Uchaguzi 2020 Inawezekanaje miundo mbinu iliyojengwa na pesa za watanzania wote, ionekane kuwa imejengwa na CCM pekee?

Magufuli na CCM yake ndio wamepewa ridhaa na dhamana ya kukusanya kodi na kusimamia rasili mali zetu wewe kapuku panya mpunga kauze chai huna unalojua zaidi ya kutujazidia server zetu hapa JF.
 
Duu Mparee2 umesoma kitabu gani hicho. Hebu tuambie kabla ya Mao Tse Tung Rais wa China alikuwa nani?
 
Shida ni kwamba sisi wanainchi wenyewe tunapenda sana mfumo wa kudanganywa na kupewa ahadi. Hatuna tofauti na mwanamke ambaye anapenda kupewa ahadi ya vitu vikubwa ndipo atoe gemu kisha akiona hakuna anachopata anaanza lalamika na kusubiria apewe tena ahadi mpya tena na kuendelea kutombwa maisha yake yote ile hali anaona anapigwa chenga.

Kimsingi sisi ndio tunawataka hawa wanasiasa kutuuzia ahadi hewa na pia kutudanganya kuwa wao ndio chanzo cha mafanikio yetu...... Kumbe huu ni uongo.

Sasa leo wabunge wakienda bungeni wanafanya siasa za vyama vyao muda wao ukiisha wanakuja kutuomba ridhaa, ridhaa ya nini sasa?! Maana unatakiwa umuombe ridhaa mtu unaemtumikia, sasa wewe unatumikia chama, why unaomba ridhaa kwangu mimi raia.

Hii ni sawa na mtu umeachiwa mali nyingi sana kisha umteuwe mtu akushikie na kukusaidia namna sahihi ya kuzitumia halafu yeye anakuwa busy kukuzitumia kufanya maisha yake ila napohitaji kuthibitisha nyaraka za umiliki wa mali au akitakiwa kutoa uthibitisho wa aina yoyote anakuja kwako mbio kukuomba na kutumia hela zinazotokana na mali yako kukurubuni umpe uthibitisho akautumie kuendelea kutumia mali yako upuuzi mtupu.

Sasa kimsingi raia ndio mnalea haya majanga na sio CCM wala sijuj nini, na hata hawa chadema mkiwapa ridhaa msitegemee jipya lolote kwasababu wataendeleza michezo ile ile ya chama ila kwa style nyingine.
 
Kijani kibichi wanafikiri wanalipa kodi peke yao , mapimbi kweli.
 
Kinachoonekana ni utekelezwaji wa ilani ya CCM,

CCM inasimamia serikali,ili unapofika tena Uchaguzi kama hivi iwaambie wananchi ilichotekeleza na itakachotekeleza tena kama wakipewa ridhaa.

Hivyo tulia CCM ing'are.
 
lebabu11
Tunachoona hakijakaa sawa, ni kwa huyu Rais tuliyenaye kujiona kuwa apewe sifa yeye pekee, kwa kutengeneza miundo mbinu hiyo, wakati ni kodi za wananchi wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tuliotengeneza miundo mbinu hiyo
Watu wa ajabu sana, kwa nini mnamsifia lisu kwamba ndio tumainio lenu pekee! So CDM waliobakia wote ni wababaishaji? Kama hivyo sivyo, kwa nini cdm wote msiwape sifa za kuwa tumaini?
 
ccm ndo wanaoamua pesa ziende wapi. wakitaka kula peke yao wanakula tu
 
Gellangi
Umenena ukweli mtupu kwa asilimia 100
 
Mtu mpumbavu hudhani upumbavu ni ushajaa. Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsifia mkoloni kisa alijenga shule. Huna tofauti na binti anayepigwa mimba kisa ananunuliwa chips.
Nyie vigoli wa shule ya msingi waziri kuelewa kisa, hamjachezwa unyago. Umeshindea kusoma na kuelewa nilichokiandika sasa utawezaje kujua kama aliyekuoa ni mmeo au kaka yako.
 
Nyie vigoli wa shule ya msingi waziri kuelewa kisa, hamjachezwa unyago. Umeshindea kusoma na kuelewa nilichokiandika sasa utawezaje kujua kama aliyekuoa ni mmeo au kaka yako.
Huna akili mpuuzi wewe umeandika nini cha maana hapo zaidi ya kukariri upuuzi wa Lissu? Eti hata mkoloni alijenga reli,shule na hospital
Hujui kuwa mkoloni alijenga shule kwa ajili ya wazungu na watu wachache kama watoto wa machifu? Hujui kuw alijenga reli ili asifirishe malighafi kwenda ulaya? Alijenga hospital ili atibu wafanyakazi waliomzalishia ili apate malighafi.
Alijeng kwa manufaa ya Tanzania? Huna akili,endelea kukariri upuuzi wa vibaraka wa mabeberu.
 
WASIOLIPA KODI NDIO WANAJUA HIVYO WANAFIKIRI MAGU ANATOTOA PESA ZA KUJENGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…