Wanataka kutushirikirisha na sisi wakati hilo ni furushi lao, walibebe hivyo hivyo mamaeeπ€£litafuneni kama lilivyo msiliteme lakwenu hilo..π
walimeze tu!Wanataka kutushirikirisha na sisi wakati hilo ni furushi lao, walibebe hivyo hivyo mamaeeπ€£
Comrade, usiwaamshe wajinga kutoka kwenye ujinga wao. Waache waendelee kuibiwa. Na uzuri jamaa kwa sasa hali peke yake!Ni kwa Mwamposa hapa jamani. Yuko live. Dada anatoa ushuhuda anasema alitolewa kizazi Ila baada ya kuchukua mafuta ya upako kwa Mwamposa akapata Mimba.
Eee Mungu nisaidie Imani na Mimi!?π€π€ππππ
Kwenu madaktari wa JF...
Ni kwa Mwamposa hapa jamani. Yuko live. Dada anatoa ushuhuda anasema alitolewa kizazi Ila baada ya kuchukua mafuta ya upako kwa Mwamposa akapata Mimba.
Eee Mungu nisaidie Imani na Mimi!?π€π€ππππ
Kwenu madaktari wa JF...
Yep. Hii hoja yako π π ina mashiko. Itawafanya wadau watake kujua:Kutolewa kizazi (hysterectomy) humaanisha kwamba ule mji ambao mimba hupandikiza na kukua kwa miezi tisa (9) haupo. Kwa hiyo uwezekano wa kubeba mimba baada ya kizazi kutolewa haupo kisayansi.
Naheshimu imani za watu lakini nafikiri ukimhoji mhusika huenda hakutolewa kizazi, labda alifanyiwa upasuaji mwingine wa mfuko wa kizazi na siyo kutolewa kizazi.
Wacha wee..!Kwa mwamposa kila kitu kinawezekana mimi niliweka mafuta lita moja kwenye pikipiki yangu kisha kwenye tank la mafuta nikabandika picha ya mwamposa ni mwaka na nusu sasa ile lita moja haijawihi kuisha
[emoji23][emoji23]Kwa mwamposa kila kitu kinawezekana mimi niliweka mafuta lita moja kwenye pikipiki yangu kisha kwenye tank la mafuta nikabandika picha ya mwamposa ni mwaka na nusu sasa ile lita moja haijawihi kuisha
Well said!πHivi Serikali inanufaika na nini kwa hawa manabii fekero?
Haya makanisa yanakwangua vijisenti vya watu masikini wajinga na desperate people wenye shida mbali mbali.
Serikali pigeni stop huu utapeli kwenye haya makanisa. Yanawapumbaza watu na kuwazidishia Umasikini. π
-Kaveli-