Incredible Maths! - (II)

Incredible Maths! - (II)

GP

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
2,049
Reaction score
161
je unataka kuzidisha namba kwa 11, hujui table au huna calculator?.
usipate tabu.
chukua namba hiyo, itenge katikati, kisha chukua jumla ya digit hizo then unganisha pamoja.

mfano 1: 45 * 11
tenga 45: 4_5
chukua jumla
: 4_(4+5)_5
: 4_9_5
unganisha
: 495

mfano 2: 89 * 11

tenga 89
: 8_9
chukua jumla >> 8_(8+9)_9
: 8_17_9 kwakua jumla ambayo ni 17 ina digit 2, tenga toka kulia acha digit moja yaani 1_7, chukua ya kushoto jumlisha kwa namba ya nje, yaani 1+8= 9
utapata
: 9_7_9
jibu
: 979

mfano 3: 122 * 11
tenga acha digit moja kulia
: 12_2
chukua jumla
: 12_(12+2)_2
: 12_14_2
tenga kati
: 1_4, jumlisha ya kushoto kwa ya nje yaani 1+12=13

utapata
: 13_4_2
jibu
: 1342


 
je unataka kuzidisha namba kwa 11, hujui table au huna calculator?.
usipate tabu.
chukua namba hiyo, itenge katikati, kisha chukua jumla ya digit hizo then unganisha pamoja.

mfano 1: 45 * 11
tenga 45: 4_5
chukua jumla
: 4_(4+5)_5
: 4_9_5
unganisha
: 495

mfano 2: 89 * 11

tenga 89
: 8_9
chukua jumla >> 8_(8+9)_9
: 8_17_9 kwakua jumla ambayo ni 17 ina digit 2, tenga toka kulia acha digit moja yaani 1_7, chukua ya kushoto jumlisha kwa namba ya nje, yaani 1+8= 9
utapata
: 9_7_9
jibu
: 979

mfano 3: 122 * 11
tenga acha digit moja kulia
: 12_2
chukua jumla
: 12_(12+2)_2
: 12_14_2
tenga kati
: 1_4, jumlisha ya kushoto kwa ya nje yaani 1+12=13

utapata
: 13_4_2
jibu
: 1342



Incredible yes! Ila bahati mbaya nadhani wewe siyo mwalimu, more likely a genius of some kind! Ni vigumu kumwelewa genius kwa sababu mengi ya maelezo ya kile anachotaka kusema huwa anabaki nayo kichwani. Tofauti na mwalimu yeye huwa anaporomosha yote habaki na ktu!
 
actually huyu jamaa anachofanya hapa ni kuexpand njia ndefu ya kuzidisha...ila kama sio kwa 11 pekee basi asingeweza lolote....jaribu kuzidisha kwa njia ndefu 53 * 11 then utagundua kwamba 53
*11
_______
53 this part ukiangalia vizuri kuna kaaujanja
+ 53 ka shule za msingi...
____________
583
 
Too much work..
Kwa nini usitumie tuu njia tuliyofundiswa shule ya msingi? It takes less than a minute to do that..LoL!
 
Too much work..
Kwa nini usitumie tuu njia tuliyofundiswa shule ya msingi? It takes less than a minute to do that..LoL!

this is advanced level, hujui maths nini? nikikuletea fourier series, derivatives, algebra etc si ndio utazimia kabisa?
 
Too much work..
Kwa nini usitumie tuu njia tuliyofundiswa shule ya msingi? It takes less than a minute to do that..LoL!

Si kweli....bila njia hii and of this kind hutafaulu quiz za hisabati...try learn them u'll meet them on ur way developing ur career.
 
Si kweli....bila njia hii and of this kind hutafaulu quiz za hisabati...try learn them u'll meet them on ur way developing ur career.

baelezee baelewe bana.
 
Si kweli....bila njia hii and of this kind hutafaulu quiz za hisabati...try learn them u'll meet them on ur way developing ur career.


Quiz za Hesabu nilikua nazifaulu vizuri tuu bila hiyo njia...I got a career, na hiyo njia haitanisaidia in any way ku-develop...Thank you!
 
Hakuna formula yoyote hapo. Ni utundu tu. Si shauru watoto watumie ujinga huu.
 
Quiz za Hesabu nilikua nazifaulu vizuri tuu bila hiyo njia...I got a career, na hiyo njia haitanisaidia in any way ku-develop...Thank you!

huwezi kupitia hesabu kama hizi kama una career yako ni hesabu za kuuza nyanya, then wont help you at all!!, kama umeipenda poa kama hujaipenda ipotezee teh teh heh tehh.
icon10.gif
 
Hakuna formula yoyote hapo. Ni utundu tu. Si shauru watoto watumie ujinga huu.

sio ujinga, ndio maana wabongo hamjui hesabu, maths ni ugonjwa kubwa sana kwa wanafunzi wa tanzania, ndio maana wengi wanakimbilia siasa na masomo ya kike, Yes! hesabu hakuna kichwani, hesabu yataka kuumiza kichwa sio lele mama weweee!.
take care.
 
George - kudos for this teaser. Usisikilize watu ambao wanapenda labda wangeleta wao hii joke hapa wangetaka wasifiwe.
Kipu iti apu joji.
 
huwezi kupitia hesabu kama hizi kama una career yako ni hesabu za kuuza nyanya, then wont help you at all!!, kama umeipenda poa kama hujaipenda ipotezee teh teh heh tehh.
icon10.gif

Unfortunately hapanilipo i went through a lot of Maths...
Anyways...I think I was supposed to congratulate u for Being Sooo Smart...My Problem is, am just lazy, don't like to think much...
Keep it Up and All the Best!
 
Back
Top Bottom