Mambo yanazidi kuwa moto kwenye baadhi ya mataifa. Matukio ya kuuwana yamendele kushika kasi sana
Watu wenye silaha wamewaua watu saba waliokuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa ujenzi wa handaki muhimu katika eneo linalosimamiwa na India, Kashmir, na kuwajeruhi wengine watano, maafisa wanasema. Hii ni miongoni mwa mashambulizi mabaya zaidi katika eneo hilo lenye mgogoro mwaka huu yaliyoelekezwa kwa raia.
====================
Gunmen have killed seven people working on a strategic tunnel project in Indian-administered Kashmir and injured at least five others, officials say, in one of the worst attacks in the disputed region this year targeting civilians.
Sababu ya kuua wenzao hasa ni nini?Tatizo bangi mbichi na madawa mengi ya kulevya hupatikana na kutumiwa kwa urahisi nchi hizo ndiyo maana hawatofautishiki na vichaa mf.Pakistan,Afghanistan,India nk.
Sababu ya kuua wenzao hasa ni nini?Tatizo bangi mbichi na madawa mengi ya kulevya hupatikana na kutumiwa kwa urahisi nchi hizo ndiyo maana hawatofautishiki na vichaa mf.Pakistan,Afghanistan,India nk.