India yaikataa sarafu ya Brics na Dollar na yaapa kuendelea kutumia dola ya Marekani

India yaikataa sarafu ya Brics na Dollar na yaapa kuendelea kutumia dola ya Marekani

Hakuna ukweli wa hii habari

Uwe unajifunza kutofautisha habari za kweli na za uongo kwenye mitandao.

Kwanza BRICS haijawahi kupanga kuwa na sarafu
Leo unajikana mwenyewe 😳😳 zile news za BRICS na de-dollarization ulikuwa una muandikia nani humu?
 
Leo unajikana mwenyewe 😳😳 zile news za BRICS na de-dollarization ulikuwa una muandikia nani humu?
Sijawahi kuandika uzi wowote kuhusu BRICS au de-dollarization, kama ushahidi unao zilete hapa hizo nyuzi
 
Hakuna ukweli wa hii habari

Uwe unajifunza kutofautisha habari za kweli na za uongo kwenye mitandao.

Kwanza BRICS haijawahi kupanga kuwa na sarafu
Pole ndugu kwa kumjibu hao vigaragozi .. brics wanaenda taratibu mpaka wawe imara ndo wawezA kuja na wazo la fedha ya pamoja ila sio sasa hivi
 
Back
Top Bottom