Vipi kuhusu milipuko iliyotokea kule iran kwenye ule mji wa vituo vya ki nuclearIndia wawe makini wasije wakaingia cha kike .maana tumeona ni wiki chache tu zimepita Muirani kamtoa kamasi muisraeli na hajajibu mpaka leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu milipuko iliyotokea kule iran kwenye ule mji wa vituo vya ki nuclearIndia wawe makini wasije wakaingia cha kike .maana tumeona ni wiki chache tu zimepita Muirani kamtoa kamasi muisraeli na hajajibu mpaka leo.
Cha ajabu israel yeye kapongeza muingereza na marekani kwa msaada mkubwa india kaingia chaka la fungo anatoka na hatufu tu!Uzuiaji wa makombora ya Iran 110 yaliyofanywa na Israel majuzi imeishtua dunia nzima. Hata hivyo kwa India tukio hili lina umuhimu wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushirikiano kati ya Israel na India katika teknolojia ya ulinzi na ya makombora ya kujihami.
Shauku ya India kuhusiana na tukio hili la Israel kuweza kuzuia makombora ya Iran inatokana na nia yake ya kutaka kuimarisha ulinzi wake dhidi ya makombora ya masafa marefu.
Lete taarifa moja tu rasmi ya eneo ulipotokea mlipuko ndani ya iran kwenye ardhi ya iran shambulio lililofanywa na Israeli. Nakuahidi nakupa laki moja (100,000). Nipo siriaz sitaniiVipi kuhusu milipuko iliyotokea kule iran kwenye ule mji wa vituo vya ki nuclear
Ongeza na mapikipiki
Siku wakituchokoza tu tunamwita Muuza Madafu anawaua wote, Watashaa na roho zaoAlafu wenyewe Israel wameshaanza kuboresha(upgrading) mifumo Yao ya ulinzi hasa kwenye speed, detect na kuipa nguvu zaidi katika intercepting...
Hivisasa watalaamu wao wapo field wakibuni namna Bora zaidi kwenye kujilinda na makombora mazito kama hypersonic na kamikazes
Iron dome imejitahidi sana kupangua kumbuka mzigo alioutuma iran ni mkubwa sanaa na ni mzitoHiyo Iron dome ni failure imeshindwa kulinda maeneo yote muhimu.
Kambi zote muhimu zilipigwa.
Kumbuka ni muunganiko wa nchi Tano na ndege F 16 ndio zilizoilinda Israel na sio uwezo wa iron dorme.
Ni aibu watu kushabikia jambo bila kulifatilia
Una uhakika israel hajajibu au umejitoa ufahamu tu kuongea unafikiIndia wawe makini wasije wakaingia cha kike .maana tumeona ni wiki chache tu zimepita Muirani kamtoa kamasi muisraeli na hajajibu mpaka leo.
kwa ajili ya Pakistan bila shaka. Ila zamani nilikuwa nadhani waislam tu ndio wana misimamo mikali, nimekuja kugundua watu wenye misimamo mikali kuliko wote ni wahindu na wabudha. wahindi wanawaonea sana waislam huko india, hadi waislam hawana hata hamu ya kujitoa mhanga kwasababu wahindu ni extremists mara mia ya waislam, wakikinukisha hawana mchezo hadi watoto wa jihad wamefyata mkia kabisa. wanatuoneaga tu sisi wakristo hawa kumbe.Uzuiaji wa makombora ya Iran 110 yaliyofanywa na Israel majuzi imeishtua dunia nzima. Hata hivyo kwa India tukio hili lina umuhimu wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushirikiano kati ya Israel na India katika teknolojia ya ulinzi na ya makombora ya kujihami.
Shauku ya India kuhusiana na tukio hili la Israel kuweza kuzuia makombora ya Iran inatokana na nia yake ya kutaka kuimarisha ulinzi wake dhidi ya makombora ya masafa marefu.
Watu hawajui hilo waambie ndege kama 30 hivyo zilichangia kupunguza hiyo shida makombora yaliyofika kwenye anga ya Israeli haufiki hata 60 mingi yalitunguliwa nje huko na manege pamoja na mifumo ya meli air defence hazikuwa exposed vya kutosha kupima uhalisiaHiyo Iron dome ni failure imeshindwa kulinda maeneo yote muhimu.
Kambi zote muhimu zilipigwa.
Kumbuka ni muunganiko wa nchi Tano na ndege F 16 ndio zilizoilinda Israel na sio uwezo wa iron dorme.
Ni aibu watu kushabikia jambo bila kulifatilia
![]()
Satellite photos suggest Iran air defense radar struck in Isfahan during apparent Israeli attack
The strike on an S-300 radar in what appears to have been a very limited strike by the Israelis would represent far more damage done than in the massive drone-and-missile attack Iran unleashed against Israel.apnews.com
Hiitwayo? Shule ni muhimu sana. Wengine mkiambiwa mkasome mnakuwa wabishiKweli kabisa Israel ni noma kwa kugundua teknolojia ya kujilinda hiitwayo Marekani , Uingereza, Ufaransa na Jordan.
Weka ushahidi hapa wa alichojibu.tuoneshe kapiga wapi ndani ya Iran.?Una uhakika israel hajajibu au umejitoa ufahamu tu kuongea unafiki
Waache wenzako wajifariji yaani mtu kapgwa target za kutosha huku anasidiwa kuzuia makombora na Uk+Usa+France+Jordan halafu unakuja hapa kusifia iron dome na huo usaidizi wote na missiles zilizokusudiwa zimegonga target hayo waliyotungua ni decoysHili limekuja baada ya Iran kuiuzia Pakistan hasimu wa India makombora
Mfumo wa kuzuia makombora wa Israel wa Iron Dome umethibitika kuwa dhaifu
😅😅😅
Aione hii mfia haya mavitu brazaj
Hiyo inaitwa "Madrassat Effect."Hiitwayo? Shule ni muhimu sana. Wengine mkiambiwa mkasome mnakuwa wabishi
Watu hawajui hilo waambie ndege kama 30 hivyo zilichangia kupunguza hiyo shida makombora yaliyofika kwenye anga ya Israeli haufiki hata 60 mingi yalitunguliwa nje huko na manege pamoja na mifumo ya meli air defence hazikuwa exposed vya kutosha kupima uhalisia
Cha ajabu israel yeye kapongeza muingereza na marekani kwa msaada mkubwa india kaingia chaka la fungo anatoka na hatufu tu!
Isitoshe alimia kubwa waliozipiga NI Morocco America uingereza Israel Hana ubavu wowote aliona wapalestina alimia kubwa wanatumia manati akajua na Iran NI hivyo ikiwa ana ubavu atume kombora iran tutajua nani anauwezo hata akiwategemea mabwana zake America na uingereza aguse Iran aone mvua ya hypersonicHili limekuja baada ya Iran kuiuzia Pakistan hasimu wa India makombora
Mfumo wa kuzuia makombora wa Israel wa Iron Dome umethibitika kuwa dhaifu
😅😅😅