Tunanunua ndege sahv kila mwaka tunajenga stiglers gorge dam,tunajenga SGR, tunajenga barabara,hosp, tunaboresha kila idara na bado tumehama Dar. ..hivi vyote vinaenda kwa wakati mmoja no time to wasteMitanzania hio pesa ya dreamliner afadhali mngenunua maembe nayo.
What has a route to Nairobi has to do with a route to Dar?This looks like a response to atcl.
Wahindi si watu wazuri
Na kupoteza muda au kuahirisha safari kabisahahaha ss direct attack kwa ATCL ki vip mdugu yetu ili hali ATCL wana ruka direct from DSM to MUMBAI kwan hata rwandair si wana route ya mumbai vp KQ kwa hawana route ya mumbai ? kama KQ hawana iyo route bac mmepigwa jeki hapo au kama mnayo bac ni wazi wamepanga kuwasumbua maana nasikia KQ wanasifika kwa kupoteza mabegi ya wateja
Poor argument brother ! .. usafiri wa ndege sio kama wa boda boda bro au matatu !!Not necessarily like that. Flight frequency and connectivity to other routes also matters usifikirie mtu atakaa JNIA anangoja sana sana sababu sio abiria wote wakifika Mumbai ati ndio mwisho.
So do u mean that passengers flying to Mumbai from Dar will have to connect via JKIA ihali kuna direct flight?
Thats why kenyans are poor planners.
Not necessarily like that. Flight frequency and connectivity to other routes also matters usifikirie mtu atakaa JNIA anangoja sana sana sababu sio abiria wote wakifika Mumbai ati ndio mwisho.
kama KQ hawakuwa na route ya MUMBAI ni wazi wame bugi sanaa kukimbilia US na kusahau soko la asia mashariki hasa indiaNa k
Na kupoteza muda au kuahirisha safari kabisa
therefore they believe in order to reach DSM one must pass JKIA isn't ? hahahahaha haaha what a jokingAha haaa
Si unakumbuka ndiyo hawa wakawa wanasema watanzania siyo watu wa kusafiri kwa sababu hawakuwemo kwenye ile max ya Ethiopian airways iliyoanguka. Wakati kuna ndege ya moja kwa moja kwenda dar toka adis.
😀😀😀
hahahahaha we unawaza maembe tu wakat mna import maembe toka TZMitanzania hio pesa ya dreamliner afadhali mngenunua maembe nayo.
What has a route to Nairobi has to do with a route to Dar?
The reason for air India to relaunch direct flights to Nairobi is clearly motivated by ATCL launch of Mumbai route.
And if the airline Air India is to start plying for Nairobi route then how is Air Tanzania involved? Wacheni upumbavu! The loss making Kenya airways is to be a first casualty! Nobody that flies to Dar from Mumbai is to connect at Nairobi while there's a direct flight costing less than $400!The reason for air India to relaunch direct flights to Nairobi is clearly motivated by ATCL launch of Mumbai route.
Hili tatizo la kupoteza mabegi au kuibiwa vitu vya thamani ndani ya begi ni kweli KQ wanazo sana.hahaha ss direct attack kwa ATCL ki vip mdugu yetu ili hali ATCL wana ruka direct from DSM to MUMBAI kwan hata rwandair si wana route ya mumbai vp KQ kwa hawana route ya mumbai ? kama KQ hawana iyo route bac mmepigwa jeki hapo au kama mnayo bac ni wazi wamepanga kuwasumbua maana nasikia KQ wanasifika kwa kupoteza mabegi ya wateja
yaan ukipanda KQ ukiwa na vitu vyako vya thamani ndani ya begi ilo yaan probability ya ivyo vitu kupotea ni kubwaa kuliko kutopoteaHili tatizo la kupoteza mabegi au kuibiwa vitu vya thamani ndani ya begi ni kweli KQ wanazo sana.
Hii nimeona kwa watu wangu wawili wa karibu.
labda we unavyo fikiria na ss miji yetu mikuu ina hadhii gani.? embu tuelezee ktk kichwa chako unapicha gan kuhusu miji ya TZ ? naona iyo clip ya mji wa mombasa ndio umeona ni kalii sanaa ..bro the only thing that we don't have here is TRIBALISM the rest we have and we willIle siku vile viji vyenu vitafikia level hii...nta log off jf
Hahaha ,you're exposing your ignorance kabisa .Mwenye ujuzi wa usafiri wa ndege hawezi argue hivyo sababu anajua kuna layovers na flight schedules huwa haziambatani wakati wote ....sio kama daladala za Tz. And yes ,they do know muda wa kufika na kuondoka (this last issue tells me you know not what you're talkin about)Anangoja sana nini? Kweni ile ni daladala kwamba hajui muda wa kufika na kuondoka ni saa ngapi?
Hata BRT ina ratiba kabisa.
Umeskia wapi Kq wakilalamika? Hasara ni nyinyi na hizo ndege zenu useless. Ndege ya Uganda inaanza kusafiri Nairobi Kwanza na nyinyi uwivu imewakimbiza Kampala [emoji23][emoji23][emoji23] Start with the main hub Nairobi ndio ndio mjulikane.acha UJINGA ww KQ route ya US ndio route inayowapa hasara kuliko ...mbona hili tunalijua ...na amini usiamini atcl wakianza route ya china pia itawalipa kuna sababu nyingi ila moja ni biashara na uwepo wa wawekezaj toka china japo wana kera lkn ndio hivyo chinese wana fly kokpte kwenye interest zao tz tunazo interest za chinese ....mwaka huu ET walileta A350 ilikuwafull of tourist from china
Acha ujinga ya pesa nane.Who travels to Mombasa?