fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Kwahiyo ni tabia ya jamii hiyo ya Samaki kuruka juu wanapoona mashua au ngalawa imewasogelea?Hugo samaki ana mdomo mkali sana!!! Pia ana kasi sana akiruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ni tabia ya jamii hiyo ya Samaki kuruka juu wanapoona mashua au ngalawa imewasogelea?Hugo samaki ana mdomo mkali sana!!! Pia ana kasi sana akiruka
Itakuwa aliruka kwa speed kali sana toka kwenye maji. Aisee ningekuwa mimi ningeomba Samaki aliyenidhuru achemshwe soup nzuri nimnywe na kumtafuna mpaka mifupa yake..
... ha ha ha! Yatosha tu kuishia hapa; sitii neno.
Indonesia, nchi yenye mikasa ya kila aina. Matetemeko,mafuriko,tsunami ndio usiseme.
Sijui walimkosea nn Mungu wao.
Unforgetable