Industrial eng. Udsm

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Naombeni kuuliza vipi kuhusu INDUSTRIAL ENGINERING market yake,na msuli wake ,Naomben msaada wadau WA CHUO CHA TAIFA
 
Nyie mafala nin? Nyie ndo walewale mlio- na mnaoendelea kusoma vyuo vya kata. Tulio soma chuo cha Taifa mtuache,(UDSM)
 
nyie mafala nin? Nyie ndo walewale mlio- na mnaoendelea kusoma vyuo vya kata. Tulio soma chuo cha taifa mtuache,(udsm)
siendelei kubishana na wewe ---- na mse**e wa kuona mbali,wangapi wamesoma vyuo mnavyoviita vya kata na wana maisha mazuri 2 kuliko hao wa udsm,,jina la chuo lisikufanye uwe na bichwa lililojaa funza na cyo ubongo,,,wewe na mleta thread wote vimeo wa kufikiri,,famba wewe
 

ww kama unasoma TEKU usikasirike ndio uwezo wako ulipoishia, Na hapa nimewaita wa WADAU WA UDSM sio wa TEKU ,huusik mkuu
 
Nyie mafala nin? Nyie ndo walewale mlio- na mnaoendelea kusoma vyuo vya kata. Tulio soma chuo cha Taifa mtuache,(UDSM)

Mwana mim nimewaita WADAU WA CHUO CHA TAIFA , hawa wngn hawausik lakn wanaanza kupanik ,
 
Nyie mafala nin? Nyie ndo walewale mlio- na mnaoendelea kusoma vyuo vya kata. Tulio soma chuo cha Taifa mtuache,(UDSM)

Na ndio maana nasemaga jukwaa la elimu limapoteza hadhi!! Embu pitia jukwaa la intelijensia ujifunze we mtoto!!
 
ww kama unasoma TEKU usikasirike ndio uwezo wako ulipoishia, Na hapa nimewaita wa WADAU WA UDSM sio wa TEKU ,huusik mkuu
We ulizaliwa kiangazi tym wa2 wanawaza watapata wapi maji ya ku2mia na ndo maana kichwa chako kimejaa maji,,
usi conclude kwa kusema mi ni wa Teku,,hujui ckujui na hujui background yangu hadi hapa mm nlipo xaiv,,,xo kalalwe,,,T*go ww
 
We ulizaliwa kiangazi tym wa2 wanawaza watapata wapi maji ya ku2mia na ndo maana kichwa chako kimejaa maji,,
usi conclude kwa kusema mi ni wa Teku,,hujui ckujui na hujui background yangu hadi hapa mm nlipo xaiv,,,xo kalalwe,,,T*go ww

taratibu ehe, NIMEWAITA WADAU WA UDSM, NA HUWA WANAJIELEWA KWAN NI KRIM YA TAIFA, WW KAMA SI WA UDSM HAPA HAPAKUHUSU
 
We can't build it by quarrels and arguments,let's make steps towards desirable achievements.....

Dogo,twende tu UDSM tukatafute hiyo degree then tuone how we can modify our knowledge to bringup a positive outcome to the poor tanganyka....acha kudadisi ubora wa fani wakati hata ujuzi hauna...

★not an insult nor an offence
 
Naombeni kuuliza vipi kuhusu INDUSTRIAL ENGINERING market yake,na msuli wake ,Naomben msaada wadau WA CHUO CHA TAIFA

Mnajifanya industrial engeneers wakati ata kiwanda cha bajaji hamna apa Tanzania xema sio ishu mtasaidia wazungu na wachina kujaza taarifa za uzalishaji na kubeba vipuri vya mashine viwandani kila la kheri...
 
Mnajifanya industrial engeneers wakati ata kiwanda cha bajaji hamna apa Tanzania xema sio ishu mtasaidia wazungu na wachina kujaza taarifa za uzalishaji na kubeba vipuri vya mashine viwandani kila la kheri...

Mkuu umenifanya nicheke sana ha ha ha
 
mnajifanya industrial engeneers wakati ata kiwanda cha bajaji hamna apa tanzania xema sio ishu mtasaidia wazungu na wachina kujaza taarifa za uzalishaji na kubeba vipuri vya mashine viwandani kila la kheri...

wewe kama umesoma hotel management ni wewe, industrial eng. Unafanya viwanda vyote uvijuavyo ww, nan kakwambia tz hakuna viwanda? Mtafute dogo wa msing akupe hata atlas ucheki, sio unaropoka 2,
 
andika kama mwana JF bac
 
wewe kama umesoma hotel management ni wewe, industrial eng. Unafanya viwanda vyote uvijuavyo ww, nan kakwambia tz hakuna viwanda? Mtafute dogo wa msing akupe hata atlas ucheki, sio unaropoka 2,

Ww bhana usitake kuleta siasa bongo kuna viwanda gani vya maana zaidi vingi vilivyopo ni 'LOCAL' sema ukinitajia kiwanda hata kimoja ambacho ni' HEAVY ' ntaamin maneno yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…