Kila mmoja anaweza kukamatika, hakuna aliye untouchable. Mwanamke sio rahisi kukamatwa:
1 wanawake ar good at multitasking na hawasahau haraka wala kujisahau (tuite u-Dellilah). Groomed to be smart, nafikiria in terms of covering tracks
2 wanawake hawategemewi ku-express feelings waziwazi. Mfano sex inawezafanyika kama wajibu and they can fake na isigundulike. Na kuna cycle na mood za kujitetea (maybe it is something to do with my hormones blah blah)
3 aren't women good actors? Kama mume anakupiga mangumi na unaweza kutabasamu mbele yake na mbele ya dunia nzima...na yeye bado akajiskia kuwa mume? Basi nadhani huwezi kustukiwa unless hajali tena
4 secret keepers. Kwanza wanawake hatuaminiani. Unajua siku mkitofautiana shosti atamwaga maharage.At most wanawake wana siri zao wasizoshare na mtu. Atakua na affair, mashosti wanaweza jua bt they will never have details. Wanaume hadi kaka zake wata-meet small house. Katika harakati za kujinadi for any benefit, mwanaume atatumia umbea kusema popote hadi habari zitafika
Eh,ngoja niishie hapa.