Infidelism: Nani rahisi kukamatwa na kwa nini?


Duh! Hii asilimia inatisha
 
Sipingi mzee mwenzangu, wako wanawake wanaocheat tena ile mbaya na hawafahamiki. Na kwa jinsi sweetlady anavyonikomalia hapa chini yawezekana ana kauzoefu flani anakokajua. Hoja yangu ni wingi wa wanaocheat. Amin amin nakuambia wanawake wangekuwa wanacheat kwa wingi kama wanaume hali ingekuwa mbaya zaidi........ tungekuwa tunafurumushana huko magesti hausi kama vichaa.

Mantiki yangu ni kuwa, kwa kuwa wanaume zaidi ya 97% (hili huwa naliamini kivyangu) huwa wanacheat na wanaokamatwa hawafiki 20% then hii midume iko smart kwa maana ya wingi wao na kutokamatwa kwao. Naamini kama 97% ya wanawake wangekuwa wanacheat zaidi ya 50% wangekuwa wanakamatwa........ Imagine hata hao wachache wanaocheat bado wanakamatwa sana tu. Labda tuondoe hao wachache ambao wamebobea.



Asprini aka babu mwenzio akimaliza kusoma hii useful quote yako, aende akamsome The Finest na mwisho kabisa amsome na Dena Amsi.
Nimeshamsoma na kina Pearl nimewasoma pia. Umefurahi?
 

Bado sina data,.....kwa hiyo naachia wenye uzoefu mtuhabarishe!!
 

Heeee! Naona leo umetuamkia, lol! Ndo maana sikubaliani kabisa na mawazo eti wanaume tu ndo wana cheat kwenye ndoa.
 
Suala la kucheat liko kwa wote,halafu ni kawaida.Watu hawafichi wanafanya waziwazi kabisa wala watu hawamshangai!
 
nimewasoma..lakini siku hizi kuna ndoa ambazo no cheating kweli??
 
Yeyote asiejua kanuni na sheria za huo mchezo na kuzitumia kikamilifu.

Sema wanawake bwana..anaweza akapata mpaka na mimba na mtoto wake ukalea bila kujua kwamba umeingizwa mkenge...wakati mwanaume ye mtoto wake wa nje hawezi kulelewa na mke/mwenzi wake bila kujulikana kacheza mechi ugenini.
 
Reactions: SMU
King'asti,
Nimesoma comment zako hadi nimechoka mbaya. Nashukuru kwa kututanabaishia ukweli. Yaani naona wanaume wanaoishi na wanawake, hawana tofauti ya Wapalestina wanaojitoa muhanga! Ni mtazamo wangu tu!
Kaaazi kweli kweli.
 
Reactions: SMU
Na ukaomba msamaha?
Ningepandisha mori mara moja

Lol, hapa yaliwahi kunikuta asee, tena niliambiwa nna laana, sina adabu na nisirudie tena kumwambia mwanaume hayo maneno, nliambiwa wanaume hawaambiwi hivyo hata siku moja,lol. Nikalazimishwa kuomba msamaha..
 
Aisee! Hata wewe???? Siamini walah tena.
 
Mada hii itawasumbua wanaume kwa kuwajuza yanayowajiria wanawake zao.
Mwanamke kiumbe mjanja na mwenye mikakati.Mwanaume ukicheat ujue mkeo ana uwezekano asilimia 99.9 kucheat.
Hafanyi kama kisasi bali "pepo la ngono" linalokuchengua, litamuandama daima dumu hadi siku moja yakimzidia maudhi yako
ataona bora apige roho brashi.Pepo hilo nalo janja ivo ivo.Litamlengeshea kidume cha haja kuliko wewe.Ataingia kingi kiulaniiii.
Chungeni sana wanaume. Msije kuleta uchafu kwenye mahusiano yenu maana mtachafua mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…