Infinix naiona mbali miaka michache ijayo

Infinix naiona mbali miaka michache ijayo

Joined
Nov 8, 2017
Posts
59
Reaction score
63
Angalia comparison hapo kati ya Google pixel 6 vs Infinix Zero X Pro


Screenshot_20211024-110901.png



Google pixel 6 vs Infinix Zero X Pro
Screenshot_20211024-111025.png


 
Hata hazifananishiki mkuu, angalia tu hapo Gpu moja ina gpu kubwa yenye core 20, nyengine ina gpu ndogo yenye core 4 angalia Gape.

Angalia processor moja ina cortex X1 nyengine cortex A76 tupu

Angalia usb 3, ip rating, Hdr 10 display, wifi 6 etc.

Hio simu wenzake ni redmi note 10 pro Samsung A52 etc ndio walinganishe.
 
Ila we jamaa umeamua kuitukana Google pixel 6, iombe radhi tafadhali.
 
Mimi nikiona processor ni mtk wala siwezi kuifananisha na yenye snapdragon .
 
Hapo kwanza kutokana na Bias ya watu dhidi ya jina la INFINIX, hakuna aliyeweza kuona hata sifa moja ya infinix dhidi ya pixel , hata kuona mlingano wa simu hizi. Ushindani upo pale pale hata kama hii ingekuwa tecno vs iPhone. Mimi naona kwanza tatizo hapo ni jina la INFINIX na wala sio sifa kubwa za pixel.

Kama angeweka XIAOMI vs Pixel , basi xiaomi ingepata shavu sana, au ingekuwa Brand kama OPPO basi ingeonekana ni ushindani halisi.
 
Hapo kwanza kutokana na Bias ya watu dhidi ya jina la INFINIX, hakuna aliyeweza kuona hata sifa moja ya infinix dhidi ya pixel , hata kuona mlingano wa simu hizi. Ushindani upo pale pale hata kama hii ingekuwa tecno vs iPhone. Mimi naona kwanza tatizo hapo ni jina la INFINIX na wala sio sifa kubwa za pixel.

Kama angeweka XIAOMI vs Pixel , basi xiaomi ingepata shavu sana, au ingekuwa Brand kama OPPO basi ingeonekana ni ushindani halisi.
Mkuu shida sio jina,,,shida hizo simu hazifananishiki

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shida sio jina,,,shida hizo simu hazifananishiki

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app


Bado tuu. Hata kama infinix ni very low end. Lakini hakuna specifications hata moja hapo ambayo inaweza kulinganishwa na pixel. Ina maana comparison ya infinix vs pixel hapo tukioanisha pixel itakuwa 100% better than infinix in all ways? Hebu niambie hata refresh rate hazilingani kabisa hii ni sawa?
 
Bado tuu. Hata kama infinix ni very low end. Lakini hakuna specifications hata moja hapo ambayo inaweza kulinganishwa na pixel. Ina maana comparison ya infinix vs pixel hapo tukioanisha pixel itakuwa 100% better than infinix in all ways? Hebu niambie hata refresh rate hazilingani kabisa hii ni sawa?
Hio refresh rate nimeiona nI question mark inayosubiria reviews. Display ya pixel ni VRR ina variable refresh rate inaweza gota kwenye refresh rate yoyote iwe 60hz 70hz 12hz etc. Wakati infinix sijui ni tech gani ila kwa ninavyofahamu hii kampuni pengine ina switch baina ya 60 hz na 120hz tu kama Midrange nyengine. Review zinahitajika zaidi.

Pili ili urun content za 120hz unahitaji gpu ya maana, game zinazo support 120hz ni nzito kweli, tunaongelea game design za pubg, hio Gpu ya Mc4 hio 60fps ikifika shukuru Mungu.

Tutaongea mengi ila nikijaliwa reviews zikitoka nitaleta data zaidi.
 
Bado tuu. Hata kama infinix ni very low end. Lakini hakuna specifications hata moja hapo ambayo inaweza kulinganishwa na pixel. Ina maana comparison ya infinix vs pixel hapo tukioanisha pixel itakuwa 100% better than infinix in all ways? Hebu niambie hata refresh rate hazilingani kabisa hii ni sawa?
Overall haiwezi,,kwasababu maeneo yote ya msingi hyo pixel ni zaidi,,,120hz haitosh kusema zinafananishika hizi simu,,tumeangalia overall specs Tena key specs...kuna simu hapo kati zina 120hz ndio zinaweza fananishika na hyo infinix...hatuidiss infinix ila mtoa mada ameangalia juu juu akaja kutoa uzi...

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom