Infinix, Tecno na Itel ni friendly kwenye matumizi ya MB

Infinix, Tecno na Itel ni friendly kwenye matumizi ya MB

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Nina experience ya muda mrefu wa kutumia Infinix, Tecno na Itel Kuna kitu nimenotice baada ya kuachana na matumizi ya simu hizo kimsingi ukweli usemwe hizo simu ziletengenezwa kuminimize cost kuanzia price ya kununulia mpaka maintenance.

Wakati natumia Infinix wiki kadhaa nyumba bundle la jero ambalo Vodacom Wana offer mb246 nilikuwa naweza kuangaika nalo kwa masaa zaidi ya kumi na mbili hapo ni mwendo wa Facebook, Jamiiforum na Whatsapp.

Sasa wahuni walipita na Infinix yangu nikaamua kuchange brand kuja kwenye Pixel aisee Mb zangu zinalika mb246 zinatumika chini ya lisaa limoja matumizi ni yaleyale Facebook, Jamiiforum na Whatsapp ilibidi niwapigie Vodacom kuwauliza kulikoni wakaniambia niangalie setting zangu uenda kuna apps zinakuwa zinafanya kazi undergrounds kama kujiupdate nimeangalia hakuna ila mb zinaisha.

Saa hivi nimesitisha kuangalia video za kikubwa maana mb zinakwenda sana kwa mwendo huu sijioni nikidumu huku lazima nirudi nilipozoea kwenye Infinix.

Screenshot_20240711-221246.png
 
Hizo brand tatu zote zinamilikiwa na mmiliki mmoja.

Ila sokoni zinajifanya hazijuani zinashindana. Ili zipate wateja wengi na ziongeze marketshare


Hata staff wao bongo wanaajiriwa kampuni tofauti. Staff wa infinix bongo haelewani na staff wa tecno. Anamuona kama competitor kumbe hela zote wanazozalisha zinaenda kwa mmiliki mmoja

Hapo ndipo utajua mchina ana akili sana biashara ni zaidi ya kuwa na degree.

Iphone na samsung pamoja na majina yao makubwa zimeachwa mbali sana kimauzo na huyo mchina. Faida kubwa anapata mchina kwa sababu katenganisha majina sokoni.

images(60).jpg
 
Mkisikia simu ina support 5g mnahisi ni nini? Line za simu siku hizi zote ni za 5g heri wenye laini zao za zamani za 4g ila za saivi zote zina 5g ukiweka bando la jero utaliona wakat limeingia tu kuhusu kuisha utajua mwenyewe.

Brand Phones zote zipo vyema kwenye upande wa Network kwahyo ukimiliki simu kubwa pia jiandae kwa matumizi
 
Ukiwa na tecno 528 unaweza kutumia mb 200 kwa mwezi au zaidi wakati mb 200 kwa simu kama tecno camon 16 ndani ya masaa mawili zinakuwa zimekata.
Sijawahi kuona hilo ni matumizi yako tu ndiyo yanaamua.

Hivi tuseme kuna video YouTube ya Mb 200 mwenye tecno 528 na tecno camon 16 wote wawe na mb 500 na wacheze quality ileile ya video na mtandao wa simu ni uleule na tuseme line zote mbili ni kiwango cha 4G.

Baada ya kuitazama wakiangalia Mb zilizobaki zitakuwa zimebaki 300 mb kwa wote au zitakuwa tofauti?
 
Sijawahi kuona hilo ni matumizi yako tu ndiyo yanaamua.

Hivi tuseme kuna video YouTube ya Mb 200 mwenye tecno 528 na tecno camon 16 wote wawe na mb 500 na wacheze quality ileile ya video na mtandao wa simu ni uleule na tuseme line zote mbili ni kiwango cha 4G.

Baada ya kuitazama wakiangalia Mb zilizobaki zitakuwa zimebaki 300 mb kwa wote au zitakuwa tofauti?
Kwanza unaijua tecno 528?

Nikiwa porini ambako mtandao wa 3 na 4g haushiki huwa natumia hiyo simu kuperuzi jf,bbc na nairaland.Kwasiku natumia chini ya mb 5.

Nikitumia smartphone kwa kasi ya 2g kuperuzi mitandao tajwa kwa siku natumia zaidi ya mb 50.

Notice the difference.
 
Mimi ninachojua ni setting na matumizi ya mtu binafsi ndiyo vinaamua na mtoa huduma
Hapana speed na graphics za simu husika huchangia bando kukimbia mfano iphone15 ikifungua instagram picha na videos display ya graphics zake zitakuwa na ppi nyingi sana compare na infinix so mb zitakimbia kama upepo
 
Sijawahi kuona hilo ni matumizi yako tu ndiyo yanaamua.

Hivi tuseme kuna video YouTube ya Mb 200 mwenye tecno 528 na tecno camon 16 wote wawe na mb 500 na wacheze quality ileile ya video na mtandao wa simu ni uleule na tuseme line zote mbili ni kiwango cha 4G.

Baada ya kuitazama wakiangalia Mb zilizobaki zitakuwa zimebaki 300 mb kwa wote au zitakuwa tofauti?
uwepo wa apps nyingi za kuji-update bila ridhaa ya mtumiaji, speed ya kupakia na kupakua mafaili katika internet hujilipiza kwenye bundles japokuwa.
taarifa na makusudio ni yaleyale, ufanisi unatofautiana.

mfn
-canter vs scania 113 zote gari za mizigo, matumizi ya dizeli yataamua
-ist vs brevis ^^
 
uwepo wa apps nyingi za kuji-update bila ridhaa ya mtumiaji, speed ya kupakia na kupakua mafaili katika internet hujilipiza kwenye bundles japokuwa.
taarifa na makusudio ni yaleyale, ufanisi unatofautiana.

mfn
-canter vs scania 113 zote gari za mizigo, matumizi ya dizeli yataamua
-ist vs brevis ^^
MImi ndio najua hivi ndio vinakula data ndio maana nikasema inategemea na setting na amtumizi ya mtu binafsi

Vitu kama hivi ndio ambavyo vinakula data

Hili la aina ya simu ndio nasikia leo
 
Back
Top Bottom