dah! pole sana mkuu... najua shida unayopitia...
hizo dawa ni kwa ajili ya inflammation huwa zinatumika kwa watu wa Rheumatoid Arthritis, Ulcerative Colitis na Chrohns disease hizo ni autoimmune diseases...
ulifanya vipimo gani?! ulipiga Colonoscopy au Barium Enema kwa hilo tatizo lako?!
Hizo dawa zinakuwa zinapunguza inflammation kwa hospital kutibu hilo tatizo ni issue, kwa ulcerative colitis kutibu hilo tatizo ni kwa surgery wanakata ile sehemu ya colon iliyo athirika halafu wanaunga au unatolewa colon yote...
Chrohns ni iko challenge sana challenge kuitibu, kwa hospital wanasema no cure kwa hayo magonjwa wanaita idiopathic yaani unknown causes...
dawa hizo ni kwa ajili ya kupunguza inflammation na kupunguza attack ili uweze ku maintain remission kwa kipindi kirefu...
kwa ulcerative colitis, hospital cure ni kwa surgery
Darren Fletcher aliyekuwa mchezaji wa Manchester alikuwa na hilo tatizo yeye alipona kwa surgery...
lakini kuna jamaa mmoja hapa jf anaitwa
Deception nilisoma sehemu akasema autoimmune disease zinatibika kwa tiba mbadala labda aje atueleze ni kwa namna gani autoimmune kama hizo zinatibika namna gani?!