Kwa mwenye information naomba kujua commissions anazopata wakala wa hizo money transfer tafadhali, tena kama kuna mwenye jedwali la viwango nitashukuru zaidi, (mfano mtu akitoa kiasi fulani au akiweka kiasi fulani ni commission ipi inatolewa). Thanks.
nimepata commissions za voda kutoka ofisini kwao, nadhani airtel hawatoi kitu kama hiki, naomba kama kuna mtu anafanya hii airtel money aniambie commissions zipo vipi nimeambiwa message huwa inakuja baada ya kufanya transaction kuambiwa umepata kiasi gani
Mkuu Voda wanatoa kama nilivyoweka jedwari hapo juu, Tigo sijui kama wanatoa au hawatoi, Airtel nimeambiwa hawatoi kwamba kila ukituma unapewa message hapo hapo umepata kiasi gani, sasa kama kuna mtu anayo Airtel Money anaweza kutuambia huwa anapata kiasi gani mfano mtu akitoa au akituma kiasi gani ili tuweze kutengeneza Jedwari letu na kwa wale wanaotaka kujiunga na hii biashara wawe informed