Hivi wajinga kama nyie bado mpo.
Ukiwa na akili hii ni wazi hata umasikini lazima ukuvae.Hatupo kwenye usimba na uyanga huko tulishahama tupo level zingine kabisa za mafanikio ya pamoja kama taifa.
Simba hata ingefungwa kumi haipotezi chochote .Waarabu walidhibitiwa hadi mwisho wakaamua kulinda tu goli lao lile moja la piga nikupige walilomsukuma Manula ndo wakafunga.Wamelindwa na waamzi mwanzo mwisho.
Wewe ni shabiki yanga wa hovyo.Huko uliko tulishahama.Sisi na Yanga hatuna utani wa kijinga kama wa kwako.Tunataka tusonge mbele mpira burudani siyo uadui.
Sent from my SM-G610F using
JamiiForums mobile app