MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Kama pumba kula sasa wewe ulichoeleza cha maana kiko wapi ili tuone cha maana.Una uhuru wa kueleza nawe kama mimi siyo kuibuka na ujinga mwingi kiasi hiki.Pumba
Kama pumba kula sasa wewe ulichoeleza cha maana kiko wapi ili tuone cha maana.Una uhuru wa kueleza nawe kama mimi siyo kuibuka na ujinga mwingi kiasi hiki.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Yaan huyu Mugalu atakuwa amewaroga.
Waeleze aiseh.Naomba nikupe somo juu ya Mugalu ili umuelewe kuanzia leo
Mugalu ana faida ya kukaa na mpira
Timu ikiwa imezidiwa Mugalu anawakaba mabeki wa team pinzani wasije kutushambulia na kwa umbo lake mabeki wanamuogopa na hakabwi na beki mmoja hali inayowapa nafasi wachezaji wengine kufanya kazi kwa uhuru
Angalia jana alichofanya kagere ndo utaelewa umuhim wa mugalu
Kipind cha kwanza kagele alikuwa anarud kusaidia kukaba huku kwetu kitu ambacho sio sahihi ikasababisha mabeki wapinzani wanaanda sana tukachezewa nusu uwanja
Mugalu huwa harus kukaba kwetu yeye anakabia kule kwao hali inayowasababisha mabeki wa team pinzani wasije kwetu
Tuache kuipa nyama za wajinga kama wewe tuipe pumba kama mwewe wa Sumbawanga tu wanakula nyama ya ng'ombe kila siku itakuwa misukule iache kula bata.Misukule ya swanga ndio hula pumba na panya
Acha waandamane.Mkuu punguza sauti kuna watu wamepanga kuandamana kuilalamikia CAF kuwapendelea simba.
Tuache kuipa nyama za wajinga kama wewe tuipe pumba kama mwewe wa Sumbawanga tu wanakula nyama ya ng'ombe kila siku itakuwa misukule iache kula bata.
Mtu kana wewe kule kwetu tungekutestia radi kuangalia kama ina nguvu au laa maana huna maana umejaaa wivu wa kipumbavu tu.
Hivi una mchango gani hata kwa timu za Tanzania hadi uumie kiasi hiki.Hapa simba imefungwa unashangilia mara moja tu vipi ingekuwa inafungwa kila siku.
Kwa taarifa yako Simba utaiona fainali ubaki na ujinga wako.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Anapata nafasi anakosa.....halafu mnasema mnakaa na mpira....akae na mpira ila akipata nafasi afungeNaomba nikupe somo juu ya Mugalu ili umuelewe kuanzia leo
Mugalu ana faida ya kukaa na mpira
Timu ikiwa imezidiwa Mugalu anawakaba mabeki wa team pinzani wasije kutushambulia na kwa umbo lake mabeki wanamuogopa na hakabwi na beki mmoja hali inayowapa nafasi wachezaji wengine kufanya kazi kwa uhuru
Angalia jana alichofanya kagere ndo utaelewa umuhim wa mugalu
Kipind cha kwanza kagele alikuwa anarud kusaidia kukaba huku kwetu kitu ambacho sio sahihi ikasababisha mabeki wapinzani wanaanda sana tukachezewa nusu uwanja
Mugalu huwa harus kukaba kwetu yeye anakabia kule kwao hali inayowasababisha mabeki wa team pinzani wasije kwetu
Miaka ya nyuma Simba ingekung'utwa sio chini ya goli tatu kwenda juu huko Misri.Mechi ya leo Simba wameupiga mwingi.hii mechi pia imempa kocha nafasi ya kuona combination ya Nyoni na Mibangi Mkude pale kati, kocha ajue nini cha kurekebisha endapo mkata umeme Lwanga siku atakosekana kwa majeraha au kadi.
Ila Mkude mechi za mbeleni uko atupishe kwakweli,hata mechi ya As Vita pale kwa Mkapa Mkude ali-flop sana tu.
Sana tu yaani,Simba huwa Ni gumzo barani Afrika.wanaionaga kama klabu sumbufu Sana kutoka East Afrika.[emoji91] wa Simba naona unazidi kuchochewa hakika Simba timu kubwa
Utopolo bhana, utafikiri mechi uliangalia wewe tu wengine hawakuitazama kabisa.Al Ahaly walipopata goli walicheza kama wako mazoezini
Kumbuka Simba ilikua inacheza naHakuna chochote nyie pussy tu..
Magnificent Cat,the king of Jungle.Utopolo bhana, utafikiri mechi uliangalia wewe tu wengine hawakuitazama kabisa. View attachment 1748304
Mwanzo kabisa baada ya fixtures ya hili kundi "A"kutoka,mashabiki wengi wa Simba tulitamani Simba kule Misri atoe draw au kama akifungwa basi zisiwe goli nyingi,ili kwa Mkapa asitoke mtu.Miaka ya nyuma Simba ingekung'utwa sio chini ya goli tatu kwenda juu huko Misri.
Ni hatua nzuri Sana kwa wekundu hao.
Lakini sishangai Simba Ni timu ya kufanya maajabu toka Zamani.
Hivi wajinga kama nyie bado mpo.
Ukiwa na akili hii ni wazi hata umasikini lazima ukuvae.Hatupo kwenye usimba na uyanga huko tulishahama tupo level zingine kabisa za mafanikio ya pamoja kama taifa.
Simba hata ingefungwa kumi haipotezi chochote .Waarabu walidhibitiwa hadi mwisho wakaamua kulinda tu goli lao lile moja la piga nikupige walilomsukuma Manula ndo wakafunga.Wamelindwa na waamzi mwanzo mwisho.
Wewe ni shabiki yanga wa hovyo.Huko uliko tulishahama.Sisi na Yanga hatuna utani wa kijinga kama wa kwako.Tunataka tusonge mbele mpira burudani siyo uadui.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Pia walipumzisha wachezaji 7 wa kikosi cha kwanzaAl Ahaly walipopata goli walicheza kama wako mazoezini
Siasa iko wapiUsitake kutuletea siasa kwenye Yanga na Simba. Yanga ibaki kama Yanga na Simba ibaki kama Simba.