Ingawa "Common sense is not so common " Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo , TFF na GSM mjitazame katika hili

Ingawa "Common sense is not so common " Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo , TFF na GSM mjitazame katika hili

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Ligi zote duniani huwa zinaendeshwa kwa sheria na taaribu ambazo zimejiwekea hasa ikija upande wa wadhamini wa Timu .

Ligi nyingi mdhamini mmoja hawezi kuwa mdhamini mkuu wa timu zaidi ya moja kwenye ligi na mara nyingi unakuta mdhamini anaedhamini timu zaidi ya moja ni upande wa Jezi tu au udhamini mwingine mdogo .

GSM ni Mdhamini wa Yanga ingawa wenyewe wanadai kwa Yanga ni Mdhamini mdogo mdhamini mkuu ni Sportpesa kitu ambacho sidhani kama ni kweli lakini pia kwenye ligi hii ya NBC kuna timu anadhamini .

Soma Pia: Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Sasa binafsi najua sheria na taaribu huenda haziwafungi lakini ni vizuri tukatumia common sense kama ni kweli haki itatendeka kwenye maamuzi ambayo yanafaida kwa Timu yake Moja

TFF na Wizara kwa ujumla hili nalo liangaliwe .
images (38).jpeg
images (50).jpeg
 
Kwa kutumia hiyo common sense unayoisema tayari Yanga ni bigwa ,GSM anadhamini timu zaidi ya tano mzunguko wa kwanza Yanga anauhakika wa kupata pointi 15 na pili 15 ukijumlisha tayari ana point 30 kibindoni. Kwann asichukue ubigwa?
 
Kwa kutumia hiyo common sense unayoisema tayari Yanga ni bigwa ,GSM anadhamini timu zaidi ya tano mzunguko wa kwanza Yanga anauhakika wa kupata pointi 15 na pili 15 ukijumlisha tayari ana point 30 kibindoni. Kwann asichukue ubigwa?
Wale walipigwaje 5 + 2 ilhali hawadhaminiwi na GSM?
 
Mleta mada unajidhalilisha kila kitu unadhani tu; leta taarifa uliyonayo na uhakika.
 
Ligi zote duniani huwa zinaendeshwa kwa sheria na taaribu ambazo zimejiwekea hasa ikija upande wa wadhamini wa Timu .

Ligi nyingi mdhamini mmoja hawezi kuwa mdhamini mkuu wa timu zaidi ya moja kwenye ligi na mara nyingi unakuta mdhamini anaedhamini timu zaidi ya moja ni upande wa Jezi tu au udhamini mwingine mdogo .

GSM ni Mdhamini wa Yanga ingawa wenyewe wanadai kwa Yanga ni Mdhamini mdogo mdhamini mkuu ni Sportpesa kitu ambacho sidhani kama ni kweli lakini pia kwenye ligi hii ya NBC kuna timu anadhamini .

Soma Pia: Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Sasa binafsi najua sheria na taaribu huenda haziwafungi lakini ni vizuri tukatumia common sense kama ni kweli haki itatendeka kwenye maamuzi ambayo yanafaida kwa Timu yake Moja

TFF na Wizara kwa ujumla hili nalo liangaliwe .View attachment 3114399View attachment 3114400
Kama Sheria hazimfungi GSM, ni haki Gani unayotaka itendeke..!

Tumia Akili Yako, usitumie Ushabiki.
 
Mimi ni Yanga ila huu uwekezaji wa GSM wahusika wasipo kua makini huu mpira wetu utaenda kua wa kiwaki kabsa
Nb:
kuna clip nimeiona hapa goal la nzegeli aise ni aibu tu na nimatusi kwa wapenda soka
 
Mwambieni Gabachori MO adhamini vilabu vingine kama afanyavyo AZAM na GSM.
 
Tumeshasema ubaya ubwela, mmeshinda 4 mmeshasahau kelele kuwa karia anaisaidia simba.

Nawakumbusha tena ubaya ubwela tu.
 
Yanga haihitaji matokeo nje ya uwanja ili kuwa bingwa. Yanga kwa Sasa nitimu Bora kulinganisha na timu nyingine. Ligi ya Tanzania siku zote Ni dhaifu. Kama Simba sio bingwa Basi yanga ndiye bingwa , uliwahi kutokea Azam kachukua ... NB Mtu mwenye akili timamu hawezi kuona shida Timu zaidi ya 5 kudhaminiwa na mdhamini mmoja. (MTU mwenye akili timamu peke yake) Kwanini Pamba usichukue ubingwa kwasababu mdamini wap anadhamini na timu nyingine?
 
Back
Top Bottom