Ingawa "Common sense is not so common " Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo , TFF na GSM mjitazame katika hili

Ingawa "Common sense is not so common " Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo , TFF na GSM mjitazame katika hili

Yanga haihitaji matokeo nje ya uwanja ili kuwa bingwa. Yanga kwa Sasa nitimu Bora kulinganisha na timu nyingine. Ligi ya Tanzania siku zote Ni dhaifu. Kama Simba sio bingwa Basi yanga ndiye bingwa , uliwahi kutokea Azam kachukua ... NB Mtu mwenye akili timamu hawezi kuona shida Timu zaidi ya 5 kudhaminiwa na mdhamini mmoja. (MTU mwenye akili timamu peke yake) Kwanini Pamba usichukue ubingwa kwasababu mdamini wap anadhamini na timu nyingine?
Meza moto.
 
Kuna jambo hujamuelewa mleta mada. Kumbuka, Kilimanjaro na SportPesa hazimiliki timu
INEOS ni wamiliki wa Manchester United na wadhamini wa Tottenham Hotspur: timu zote zipo Premier League.
 
Ligi zote duniani huwa zinaendeshwa kwa sheria na taaribu ambazo zimejiwekea hasa ikija upande wa wadhamini wa Timu .

Ligi nyingi mdhamini mmoja hawezi kuwa mdhamini mkuu wa timu zaidi ya moja kwenye ligi na mara nyingi unakuta mdhamini anaedhamini timu zaidi ya moja ni upande wa Jezi tu au udhamini mwingine mdogo .

GSM ni Mdhamini wa Yanga ingawa wenyewe wanadai kwa Yanga ni Mdhamini mdogo mdhamini mkuu ni Sportpesa kitu ambacho sidhani kama ni kweli lakini pia kwenye ligi hii ya NBC kuna timu anadhamini .

Soma Pia: Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Sasa binafsi najua sheria na taaribu huenda haziwafungi lakini ni vizuri tukatumia common sense kama ni kweli haki itatendeka kwenye maamuzi ambayo yanafaida kwa Timu yake Moja

TFF na Wizara kwa ujumla hili nalo liangaliwe .View attachment 3114399View attachment 3114400
Mkuu kuhusu hoja yako hiyo, ukifanikiwa kuipata Clip ya Mheshimiwa Alhaji Ismail Aden Rage (Nguli wa Sheria za Soka Nchini) utaondoa wasiwasi wako wote ulionao. Kwa kifupi udhamini wa Azam, GSM, SportPesa, Binsulum na wengine wengi umeiwezesha Ligi yetu kuwa bora katika Ukanda huu wa CECAFA na Afrika kwa ujumla. Muhimu timu zifanye maandalizi kulingana na taratibu za TFF, CAF na FIFA. Mwisho hatutaki kurudi katika enzi za Timu kukosa nauli na malazi ila tunaomba Wadhamini/Wafadhili waongezeke kwa ajili ya kulifanya Soka letu liwe Competitive.
 
Yanga ndiyo timu pekee ya mpira wa miguu hapa Tanzania, wengine ni mangenge ya wahuni
 
Kwa kutumia hiyo common sense unayoisema tayari Yanga ni bigwa ,GSM anadhamini timu zaidi ya tano mzunguko wa kwanza Yanga anauhakika wa kupata pointi 15 na pili 15 ukijumlisha tayari ana point 30 kibindoni. Kwann asichukue ubigwa?
Ubingwa na point 30!

Mbona mnadharau mchango wa Simba kwenye ubingwa wa Yanga?!!
 
Ligi zote duniani huwa zinaendeshwa kwa sheria na taaribu ambazo zimejiwekea hasa ikija upande wa wadhamini wa Timu .

Ligi nyingi mdhamini mmoja hawezi kuwa mdhamini mkuu wa timu zaidi ya moja kwenye ligi na mara nyingi unakuta mdhamini anaedhamini timu zaidi ya moja ni upande wa Jezi tu au udhamini mwingine mdogo .

GSM ni Mdhamini wa Yanga ingawa wenyewe wanadai kwa Yanga ni Mdhamini mdogo mdhamini mkuu ni Sportpesa kitu ambacho sidhani kama ni kweli lakini pia kwenye ligi hii ya NBC kuna timu anadhamini .

Soma Pia: Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Sasa binafsi najua sheria na taaribu huenda haziwafungi lakini ni vizuri tukatumia common sense kama ni kweli haki itatendeka kwenye maamuzi ambayo yanafaida kwa Timu yake Moja

TFF na Wizara kwa ujumla hili nalo liangaliwe .View attachment 3114399View attachment 3114400
Tulieni dawa iwaingie vzr.timu zimeimalika sana baada ya udhamini ndiyo maana wachezaji wakigeni wanaweza kulipwa vizr na timu ndogo Cha msingi sajilini vzr kwa ajili ya kuonesha upinzani.
 
Ligi zote duniani huwa zinaendeshwa kwa sheria na taaribu ambazo zimejiwekea hasa ikija upande wa wadhamini wa Timu .

Ligi nyingi mdhamini mmoja hawezi kuwa mdhamini mkuu wa timu zaidi ya moja kwenye ligi na mara nyingi unakuta mdhamini anaedhamini timu zaidi ya moja ni upande wa Jezi tu au udhamini mwingine mdogo .

GSM ni Mdhamini wa Yanga ingawa wenyewe wanadai kwa Yanga ni Mdhamini mdogo mdhamini mkuu ni Sportpesa kitu ambacho sidhani kama ni kweli lakini pia kwenye ligi hii ya NBC kuna timu anadhamini .

Soma Pia: Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Sasa binafsi najua sheria na taaribu huenda haziwafungi lakini ni vizuri tukatumia common sense kama ni kweli haki itatendeka kwenye maamuzi ambayo yanafaida kwa Timu yake Moja

TFF na Wizara kwa ujumla hili nalo liangaliwe .View attachment 3114399View attachment 3114400
Yanga akishashinda kwa magoli mengi watu huhamia kufungua nyuzi tu ili kupooza maumivi japo kiduchu
 
Nadhani hata washabiki wa soka Tanzania ni mbumbumbu, haiwezekani hoja hii ionekane kituko. Kuna haja kwa wale wanaootakia mema soka la Tanzania kulipeleka suala hili FCC ili watoe uamuzi, kwenye akili ya kawaida kabisa haitakiwi kuwa hivi. Wapinzani wa Yanga kwenye mbio za ubingwa kama Simba na Axam wachuke hatua na kulalamima FCC.

Vv
 
Back
Top Bottom