Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Baada ya njaa kuwa kali, Kenyatta akaona atafute namna ya kiutu uzima kukutana na mkuu wa nchi iliyojaa chakula na soko la uhakika la bidhaa za Kenya.
Mara akaitisha mkutano wa Blue economy, jamaa hakutokea, badala yake akatokea Shein.
Jamaa kaona saaa hali imekuwa mbaya.
Ataendaje Tz, how does he sell it to his people kuwa amekuja ku beg Tz? So ikabidi na M7 awepo pale to paint a good picture of EaC look like. So kina Kagame na Nkurunziza hawakuwa na haja ya kuwepo pale kwa kuwa mkutano ule ulikuwa baina ya Kenya na Tz, ila ukibeba sura ya jumuiya kwa kumuweka na M7 ili kumsitiri mtu mzima Kenyatta.
Kwa kuwa wakenya mmehitaji msaada wetu, msijali. Tutawasaidia kiroho safi. Ila mpunguze majivuno. Jishusheni mpate msaada.
Mara akaitisha mkutano wa Blue economy, jamaa hakutokea, badala yake akatokea Shein.
Jamaa kaona saaa hali imekuwa mbaya.
Ataendaje Tz, how does he sell it to his people kuwa amekuja ku beg Tz? So ikabidi na M7 awepo pale to paint a good picture of EaC look like. So kina Kagame na Nkurunziza hawakuwa na haja ya kuwepo pale kwa kuwa mkutano ule ulikuwa baina ya Kenya na Tz, ila ukibeba sura ya jumuiya kwa kumuweka na M7 ili kumsitiri mtu mzima Kenyatta.
Kwa kuwa wakenya mmehitaji msaada wetu, msijali. Tutawasaidia kiroho safi. Ila mpunguze majivuno. Jishusheni mpate msaada.